Recent content by KABHILABHIGHAMBO

  1. KABHILABHIGHAMBO

    FFU kasaidie kuwaondoa watu Ruvu darajani wanaotaka kuchota mafuta baada ya lori kuanguka

    YEHODAYA alikuwa sahihi japo hakumaanisha alichokiandika japo polisi wangefika mapema kama ingebidi wangekitumia, alikuwa sahah kabisa sema alikosa ushirikiano
  2. KABHILABHIGHAMBO

    Tundu Lissu: Profesa wetu wa sheria hajui sheria zetu?

    MSAADA: nini maama ya PROPAGANDA KIBUDU?
  3. KABHILABHIGHAMBO

    Kwa hili la vitambulisho vya wajasiliamali, Rais anahitaji pongezi

    Jamani leo sina comment ila naomba mliopo kusini mniulizie kama zile Koro show ambazo hazifai naweza kupata hata ndoo 1 kwa nusu gharama. Sent using Jamii Forums mobile app
  4. KABHILABHIGHAMBO

    Nini dawa ya mtanzania anayeikashifu nchi yake?

    Wachemshie irihilirya uwape nusu kikombe kutwa Mara 3 Sent using Jamii Forums mobile app
  5. KABHILABHIGHAMBO

    JPM aweza Kuwa the worst President of All times?

    Viaumbele mbna vipo na vinafanya kazi mkuu, kuua upinzani ci ni kipaumbele au hicho kipaunyuma? Sent using Jamii Forums mobile app
  6. KABHILABHIGHAMBO

    Deni la Taifa lafikia Tzs trilioni 61.8

    Nakuona wewe mwenye akili endeleeni tu kujenga hata flamingo nao ni ndege watatua tu. bora hata shule zingeondolewa tu,, et na huyu much know naye ni msomi!!!
  7. KABHILABHIGHAMBO

    Kama ningekuwa Freeman Mbowe...

    Sijawahi kuona mtu mpumbavu katika jukwaa hili!!!!! natamani ningekuona ili nione ubashitephobia wako ni wa kiwango gani. deni lataifa linapanda kila iitwapo leo eti miradi ya Chato International Airport n.k, sh. ya Tz inashuka thamani kila uchwao halafu unaandika uzi kama huu?????????? Ndo...
  8. KABHILABHIGHAMBO

    Deni la Taifa lafikia Tzs trilioni 61.8

    Chato International Airport ni ya kazi gani? Sent using Jamii Forums mobile app
  9. KABHILABHIGHAMBO

    Ajali ya gari (roli) yatokea Tarime

    Mda mchache ilopita majira ya saa tisa unusu gari uliyokuwa imebeba mchanga imepata ajali ya kupinduka katika Barabara ya Sirari Msoma. Mashuhuda wanasema gari hyo ilikuwa kwenye speed kubwa na imekutwa na mkasa huo wakati dereva wake alipojaribu kumkwepa mwanafunzi wa Nyamisangura sec...
  10. KABHILABHIGHAMBO

    Niliowa kwa kulazimishwa.

    Hii Hali inaniuma Sana hasa pale ninapomuona anajitoa kwa Kila kitu kwa ajili yangu. Daaah naumiaga Sana . Nimieipenda hii sentenso. Kumbe anajitoa kwa ajili yako halafu unaoa ni mateso? Muache halafu utampata utakayejiotoa kwa ajili yake wakati yeye anajitoa kwa mwingine hapo ndipo miaka...
  11. KABHILABHIGHAMBO

    Wabunge washangaa sheria ya mafao, wasema kipengele cha mstaafu kulipwa 25% na 75% kwa miaka 12 kilifichwa

    Mhhhhh, hivi hiyo Dr ni jina au ndo elimu yake? Kama ni elimu basi bora niishie kidato cha nne. Ova
  12. KABHILABHIGHAMBO

    Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

    Dar ukiwa na cherehani 3 tayari una kiwanda, Nairobi unaitwa jua kali
  13. KABHILABHIGHAMBO

    Hatimaye nimewasili nchini Pakistan

    Niulizie chenji ya huko ikoje kwa sh. Ya TZ
Back
Top Bottom