KABHILABHIGHAMBO
JF-Expert Member
- Jan 15, 2017
- 223
- 113
Mda mchache ilopita majira ya saa tisa unusu gari uliyokuwa imebeba mchanga imepata ajali ya kupinduka katika Barabara ya Sirari Msoma.
Mashuhuda wanasema gari hyo ilikuwa kwenye speed kubwa na imekutwa na mkasa huo wakati dereva wake alipojaribu kumkwepa mwanafunzi wa Nyamisangura sec aliyekuwa anaendesha baiskeli yake barabarani huku akiyumba.
Kwa sababu ya speed ya hiyo gari dereva alishindwa kuitalawa gari hiyo na hatimaye ikahama njia na kupinduka.
Raia wamefika na kutoka msaada wa kuibinua na kuokoa majerahi. Wote waliokuwemo wametoka wazima japo inadhaniwa kuwa ama mmoja au wote wamevunjika baadhi ya viungo.
(kulikuwemo na watu wawili kwenye gari hiyo)
Sent using Jamii Forums mobile app
Mashuhuda wanasema gari hyo ilikuwa kwenye speed kubwa na imekutwa na mkasa huo wakati dereva wake alipojaribu kumkwepa mwanafunzi wa Nyamisangura sec aliyekuwa anaendesha baiskeli yake barabarani huku akiyumba.
Kwa sababu ya speed ya hiyo gari dereva alishindwa kuitalawa gari hiyo na hatimaye ikahama njia na kupinduka.
Raia wamefika na kutoka msaada wa kuibinua na kuokoa majerahi. Wote waliokuwemo wametoka wazima japo inadhaniwa kuwa ama mmoja au wote wamevunjika baadhi ya viungo.
(kulikuwemo na watu wawili kwenye gari hiyo)
Sent using Jamii Forums mobile app