Ajali ya gari (roli) yatokea Tarime

KABHILABHIGHAMBO

JF-Expert Member
Jan 15, 2017
223
113
Mda mchache ilopita majira ya saa tisa unusu gari uliyokuwa imebeba mchanga imepata ajali ya kupinduka katika Barabara ya Sirari Msoma.

Mashuhuda wanasema gari hyo ilikuwa kwenye speed kubwa na imekutwa na mkasa huo wakati dereva wake alipojaribu kumkwepa mwanafunzi wa Nyamisangura sec aliyekuwa anaendesha baiskeli yake barabarani huku akiyumba.

Kwa sababu ya speed ya hiyo gari dereva alishindwa kuitalawa gari hiyo na hatimaye ikahama njia na kupinduka.

Raia wamefika na kutoka msaada wa kuibinua na kuokoa majerahi. Wote waliokuwemo wametoka wazima japo inadhaniwa kuwa ama mmoja au wote wamevunjika baadhi ya viungo.

(kulikuwemo na watu wawili kwenye gari hiyo)
IMG_20190129_153909.jpeg
IMG_20190129_153729.jpeg
IMG_20190129_153655.jpeg
IMG_20190129_153621.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mda mchache ilopita majira ya saa tisa unusu gari uliyokuwa imebeba mchanga imepata ajali ya kupinduka katika Barabara ya Sirari Msoma.

Mashuhuda wanasema gari hyo ilikuwa kwenye speed kubwa na imekutwa na mkasa huo wakati dereva wake alipojaribu kumkwepa mwanafunzi wa Nyamisangura sec aliyekuwa anaendesha baiskeli yake barabarani huku akiyumba.

Kwa sababu ya speed ya hiyo gari dereva alishindwa kuitalawa gari hiyo na hatimaye ikahama njia na kupinduka.

Raia wamefika na kutoka msaada wa kuibinua na kuokoa majerahi. Wote waliokuwemo wametoka wazima japo inadhaniwa kuwa ama mmoja au wote wamevunjika baadhi ya viungo.

(kulikuwemo na watu wawili kwenye gari hiyo) View attachment 1007858View attachment 1007859View attachment 1007860View attachment 1007863

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu Roli ni nn? Sisi kule kwetu Moshi tunasemaga Lori.
 
Mda mchache ilopita majira ya saa tisa unusu gari uliyokuwa imebeba mchanga imepata ajali ya kupinduka katika Barabara ya Sirari Msoma.

Mashuhuda wanasema gari hyo ilikuwa kwenye speed kubwa na imekutwa na mkasa huo wakati dereva wake alipojaribu kumkwepa mwanafunzi wa Nyamisangura sec aliyekuwa anaendesha baiskeli yake barabarani huku akiyumba.

Kwa sababu ya speed ya hiyo gari dereva alishindwa kuitalawa gari hiyo na hatimaye ikahama njia na kupinduka.

Raia wamefika na kutoka msaada wa kuibinua na kuokoa majerahi. Wote waliokuwemo wametoka wazima japo inadhaniwa kuwa ama mmoja au wote wamevunjika baadhi ya viungo.

(kulikuwemo na watu wawili kwenye gari hiyo) View attachment 1007858View attachment 1007859View attachment 1007860View attachment 1007863

Sent using Jamii Forums mobile app
Ila kama alimkwepa mwanafunzi na kupata haya yote basi Mungu nae atambariki zaidi. Mwanafunzi nae inabidi akatoe ushuhuda wa Mungu kumuokoa ktk ajali mbaya.
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom