Leonard Robert
JF-Expert Member
- Apr 22, 2011
- 11,138
- 7,398
Tulia wewe kama ametulia inatosha
maombisasa anachostahili yeye hakitaki, tumfanye nn ndugu yetu?
Nyie ndio mnaofanya wanaume tuonekane ni wale ulimtingoza mwenyewe kama hukumpenda ulitongoza wa nini kitendo cha kumtongoza tayari umevutiwa naye iwe sura, umbo au tabia akakubalia kwakuwa naye alikupenda mkafumwa kwa sababu unakula bint wa watu haujamuoa bado binti ametulia amekuzalia mtoto na unakiri mwenyewe anakupenda mpaka unamuonea huruma, kama ni kutembea na mshikaji wako alitembea naye kabla yako na yawezekana ulijua kwakuwa ulimpenda baada ya ha na mshikaji wako ukamchukua Wewe, kinachokusunbua ni ukicheche habari ya kusingizia ooh mara sijampenda ni uongo Mkubwa.Salamu Sana.
Ama baada ya salamu
Mimi Ni kijana mwenye umri wa miaka 30. Ambaye nimeoa na Nina mtoto mmoja.
Chanzo Cha kuoa Ni umalaya nilikuwa nafanya na binti mmoja HIVi ambaye alinipenda Sana. Ila Mimi nilikuwa na lengo la kumaliza hamu zangu tuuu.
Sasa ikatokea nimafumaniwa, na kuozeshwa kwa lazima (ndoa ya mkeka)
Sasa dah taabu ipo pale pale
Naishi na mwanamke lakini akili yangu haipo kwake kabisaaaaaaaaa....
Ndo pale unaambiwa akifanya kosa la JERO nampa adhabu ya BUKU MBILI.
Hii Hali inaniuma Sana hasa pale ninapomuona anajitoa kwa Kila kitu kwa ajili yangu. Daaah naumiaga Sana .
Je?
Wazee baba na wazee mama
Kuna namna hapo au ndo nimeshaangamia???
NAWASILISHA
Ila kuowa umelazimishwa 😂😂😂 nayo ni sababuKumfanya matusi hukulazimishwa?