Recent content by Kaab msafi

  1. Kaab msafi

    JamiiForums Tanzania Wakuu naomba kuelimishwa, baada ya kufungua madai NSSF, Total Contributions inasoma Zero, Statement hakuna kitu

    wakichukuaga hawarudishi mrejesho Mkuu[emoji28]
  2. Kaab msafi

    JamiiForums Tanzania Ramani ya nyumba ndogo

    Ahsante sana Mkuu kwa upendo wako Sent from my GIA-AN80 using JamiiForums mobile app
  3. Kaab msafi

    JamiiForums Tanzania Tuwekane Sawa; Single mother NI Yule asiyeweza kuhudumia Watoto wake na Anahitaji kutunziwa Watoto na Mwanaume Mwingine àmbaye hakumzalisha

    Sasa wewe ndio "Single mtambalike" mkuu Sent from my GIA-AN80 using JamiiForums mobile app
  4. Kaab msafi

    JamiiForums Tanzania Jinsi ya kurudia mitihani ya kidato cha nne (private candidate).

    Ni rahisi,nenda shule au vituo vilivyosajiliwa na necta ambazo wanatoa huduma ya watahiniwa binafsi(PC). Utafanya usajili wa kufanya mitihani.
  5. Kaab msafi

    JamiiForums Tanzania Watanzania tujifunzeni kiarabu

    الغة العربية المبارك [emoji91]
  6. Kaab msafi

    JamiiForums Tanzania Msaada kupata mafao NSSF baada ya kuachishwa kazi

    Haya mashirika yaangaliwe upya,maana regulations wanazofanya haziwasaidii raia wa nchi hii,kwa watu waliofanya sekta binafsi ni vema wapewe fedha zao wanapozihitaji. Ukiritimba wa kuwazuia watu na fedha zao wenyewe ni miongoni mwa sababu zinazoondoa baraka za uchumi nchini,kuzorotesha hali za...
  7. Kaab msafi

    JamiiForums Tanzania Kuna wimbi kubwa la watu wanaozaliwa mjini hawana ukaribu na vijiji vyao na watoto wao hawajui asili yao

    Watu wanapaswa wawe wema na wachapakazi popote walipo,kwa wale waliopata bahati ya kufahamu vijiji vyao na wanatembelea mara kwa mara ni jambo jema,ama wale ambao hawakupata fursa hiyo ni vema kupambana hapo hapo na kuwalea watoto wao vema.
  8. Kaab msafi

    JamiiForums Tanzania Unamtaka nani humu, muwe naye kwenye mahusiano?

    FaizaFoxy
  9. Kaab msafi

    JamiiForums Tanzania Hivi utajiri na maisha mazuri vinapatikana vipi?

    Kutafuta pesa, kuwa na nidhamu ya kidogo unachopata, kuwekeza kwenye vitu vitakavyokuongezea kipato chako zaidi.
  10. Kaab msafi

    JamiiForums Tanzania Utafiti Usio rasmi: Watanzania wenye kipato cha Tsh. 20,000 kwa siku hawazidi milioni tano

    Nami naafikiana nawe kwa zaidi ya 90% ya utafiti wako, nashauri upambane kukidhi vigezo vya kiutafiti ili kuurasimisha. Nimependa umeakisi hali halisi ya umasikini kwa walio wengi na nafikiri itasaidia kuwawezesha wadau kujua nini kifanyike kunusuru hali za watu wetu. "Lau umasikini ungeli...
  11. Kaab msafi

    JamiiForums Tanzania Ulitumia njia gani kurudi mwili wako wa kawaida baada ya kujifungua?

    Ukitaka kupungua haraka na bila athari yoyote ya kiafya,tumia kanuni ifuatayo. 14 days fanya mazoezi kila siku asubuhi na jioni(mazoezi mazuri zaidi ni kutembea umbali flani),kisha 14 days funga(jizuie na kula na kunywa chochote) kwa at least 12 hours per day,kuanzia alfajiri hadi jioni ndio...
  12. Kaab msafi

    JamiiForums Tanzania Droupouts wa vyuo tukutane hapa

    Mafanikio yetu yanatokana na namna tunavyo fikiri, nawapongeza wote wanao amua kusonga mbele na kutumia vipaji na juhudi kufanya vizuri kimaisha.
  13. Kaab msafi

    JamiiForums Tanzania Tunaodaiwa na watu binafsi hii inatuhusu

    Na urudishe fedha yangu kama tulivyokubaliana! Yaani siku unakuja kukopa mbona ulikuwa mpole na riba ulijiwekea mwenyewe. Jamani mlipe madeni kwa watu waliowaamini kwa wakati ili kujenga imani ya kukopesheka tena.
  14. Kaab msafi

    JamiiForums Tanzania Taja Umri wako sahihi

    46
  15. Kaab msafi

    JamiiForums Tanzania Nukuu 25 za Shaaban Robert kutoka katika riwaya ya kusadikika.

    Mungu na amrehemu, Shaaban alikuwa mkarimu, Mwerevu mwenye fahamu, Hekima na akili timamu, Kinywa chenye maneno matamu "Waovu wachache hawa washindi wema wengi" Sheikh Shaaban Robert
Back
Top Bottom