I IQ96 New Member Jan 23, 2024 2 0 Jan 27, 2024 #1 wadau nilikuwa naomba kujua kwa anaye fahamu namna ya kurudia mitihani (private candidate ) inakuwaje? na process zote
wadau nilikuwa naomba kujua kwa anaye fahamu namna ya kurudia mitihani (private candidate ) inakuwaje? na process zote
Kaab msafi Member Jun 13, 2013 57 110 Jan 27, 2024 #2 Ni rahisi,nenda shule au vituo vilivyosajiliwa na necta ambazo wanatoa huduma ya watahiniwa binafsi(PC). Utafanya usajili wa kufanya mitihani.
Ni rahisi,nenda shule au vituo vilivyosajiliwa na necta ambazo wanatoa huduma ya watahiniwa binafsi(PC). Utafanya usajili wa kufanya mitihani.
I IQ96 New Member Jan 23, 2024 2 0 Jan 27, 2024 Thread starter #3 Kaab msafi said: Ni rahisi,nenda shule au vituo vilivyosajiliwa na necta ambazo wanatoa huduma ya watahiniwa binafsi(PC). Utafanya usajili wa kufanya mitihani. Click to expand... Navijuaje vituo kaka ? tafadhali?
Kaab msafi said: Ni rahisi,nenda shule au vituo vilivyosajiliwa na necta ambazo wanatoa huduma ya watahiniwa binafsi(PC). Utafanya usajili wa kufanya mitihani. Click to expand... Navijuaje vituo kaka ? tafadhali?
JUMALIKA Member Dec 21, 2021 32 37 Jan 28, 2024 #4 IQ96 said: Navijuaje vituo kaka ? tafadhali? Click to expand... Call me 0712 35 95 10