Pisi kali
JF-Expert Member
- Dec 31, 2019
- 1,215
- 2,418
Nina miezi kadhaa baada ya kujifungua ni mtoto wangu wa kwanza, (RIP MY ANGEL) sasa tangu nijifungue nazidi kunenepa tu sipungui
Sijanywa masupu wala mitori lakini unene umegoma kuniacha nimefanya mazoezi naona nachoka tu bure nimegoogle aina ya milo kwaajili ya kupungua ila bado
Huu unene naona kama mume wangu hapendi japo ananiambia pungua kidogo tu.
Nina 98kgs nataka atleast 70 or 66kgs sio mbaya.
Kuna kampuni inaitwa TANZANITE kama sijakosea nasikia wanadawa and some treatments za kupunguza mwili, tumbo, stretch marks, kuna aliyewahi kupata matibabu hapo labda? Maana naogopa nisije nikakonda zaidi ama kunenepa zaidi
Sijanywa masupu wala mitori lakini unene umegoma kuniacha nimefanya mazoezi naona nachoka tu bure nimegoogle aina ya milo kwaajili ya kupungua ila bado
Huu unene naona kama mume wangu hapendi japo ananiambia pungua kidogo tu.
Nina 98kgs nataka atleast 70 or 66kgs sio mbaya.
Kuna kampuni inaitwa TANZANITE kama sijakosea nasikia wanadawa and some treatments za kupunguza mwili, tumbo, stretch marks, kuna aliyewahi kupata matibabu hapo labda? Maana naogopa nisije nikakonda zaidi ama kunenepa zaidi