Wadau mwenye taarifa za hawa watu waliita watu wakajaze form za mkataba wa kuanza kazi lakini,waliaambia mpaka mishahara yao itakapoonza kutoka ndio wataanza kazi. Je wale waliojaza form wameshaanzaaa ni miezi mitatu sana tangu wajaze form! Naomaba kuwakilisha
Waliwahi kunibeeep siku moja hawa tume ya ajira kwa kuwa nina number yao na nishafanya interview ya kwanza, nilifata asubuhi yake lakini walikaata eti hawakunipigia nilipo waonyesha number yao wakaniomba msamahaa, eti niwa samehee. maaana walinipigia kimakosa.Hii tume ina urasimu sana bora...
JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA
OFISI YA RAIS
SEKRETARIETI YA AJIRA KATIKA UTUMISHI WA UMMA
Kumb. Na. EA.7/96/01/B/26 21 Machi, 2012
KUITWA KAZINI
Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma inapenda kuwaarifu waombaji kazi wa nafasi mbalimbali waliofanya usaili kuanzia tarehe 2 hadi 3...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.