NGOSWE.120
JF-Expert Member
- Jul 9, 2011
- 219
- 233
Wakuu wana Jf kwa yeyote yule anayejua kitu kinachoendelea huko sekretariate ya ajira kwa nafasi za kazi zilizotangazwa na kuwa na deadline ya tarehe 3 December 2011 naomba tufahamishane wakuu.
NB: Sina imani na hii tume ya ajira hata kidogo coz ya uchakachuaji wao wa kupita kiasi, so kama kuna mtu atakuwa na feedback ya kuitwa katika interview au kuwa shortlisted basi atufahamishe hapa jamvini ili niweze ku-justify statement yangu.
NB: Sina imani na hii tume ya ajira hata kidogo coz ya uchakachuaji wao wa kupita kiasi, so kama kuna mtu atakuwa na feedback ya kuitwa katika interview au kuwa shortlisted basi atufahamishe hapa jamvini ili niweze ku-justify statement yangu.