Ajira za walimu huenda zikatoka January. Habari ya kusikitisha ni kwamba walimu watakaoajiriwa ni wachache hasa wa Sayansi. Serikali haitaki kukiri haina pesa, ila ukweli ni kwamba kama umekaa kitako unasubiri hzi ajira, anza kujishughulisha. Kama ulikuwa huna mpango wa kukaa mkoa habari ndo hiyo.
Source: Mamangu mkubwa yuko Mipango pale wizarani. Niamini.
Source: Mamangu mkubwa yuko Mipango pale wizarani. Niamini.