Dah! ushaur wangu usitoe preg coz watoto wanatafutwa xana kumbuka.
wangap wanatafuta mimba na hawapat na ujiulize kwann ww unapata speedly?
mungu anamakusud yake dada angu!
mungu anakupima ww unamsimamo gan. komaa hilo n tatzo dgo xaa..na!
halpaswi hata kuumiza kchwa,
ushaur mwngne n kwamba...
aje wadau wazto wa JFs??
leo wadau nina maswali hapa hasa kwa cc wa chadema..km unajua majibu/jibu utatusaidia,
1..hv kwann ccm walfanya uchaguz wa mgombea wao mapee..ma
2..hv n kweli lowassa katoa kitita kzto chadema.
3..lowassa kaxema atatoa elimu buree nan kawah kumuulza km itakua bora.au ndo...
cjawah kuwaona wa2 wa ajabu km membes wa chadema),
hv tangu ln mgen akakutawala mwenyeji kwa muda wa cku 2?
fikiri kabla ya kutenda km jembe silaa,
hv nan ashawah kujiulza kwann silaa alikaa kmya kwa muda mrefu bila kumzungumzia lowassa?
sku zote tz 2tabak kuwa wajinga.
usikurupuke ktk maamuz...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.