Recent content by Jux ze njombe

  1. J

    Lowassa: Sitategemea wahisani kuendesha serikali

    kwan wa kwanza yeye? mbona mzee nyerer alxhatumia mfumo huo lkn mbna ulmuxhnda kabxa mpaka akamuuzia nchi mzee wa ruksa? fkria bana
  2. J

    Naomba ushauri juu ya mimba isiyo na baba

    Dah! ushaur wangu usitoe preg coz watoto wanatafutwa xana kumbuka. wangap wanatafuta mimba na hawapat na ujiulize kwann ww unapata speedly? mungu anamakusud yake dada angu! mungu anakupima ww unamsimamo gan. komaa hilo n tatzo dgo xaa..na! halpaswi hata kuumiza kchwa, ushaur mwngne n kwamba...
  3. J

    Mzee Lowassa kurejea CCM baada ya Uchaguzi

    waambie mwana hao wasiojielewa
  4. J

    Elimu Bure?,elimu Bora?

    aje wadau wazto wa JFs?? leo wadau nina maswali hapa hasa kwa cc wa chadema..km unajua majibu/jibu utatusaidia, 1..hv kwann ccm walfanya uchaguz wa mgombea wao mapee..ma 2..hv n kweli lowassa katoa kitita kzto chadema. 3..lowassa kaxema atatoa elimu buree nan kawah kumuulza km itakua bora.au ndo...
  5. J

    Ninani anayebisha kuwa Lowassa sio rais?

    cjawah kuwaona wa2 wa ajabu km membes wa chadema), hv tangu ln mgen akakutawala mwenyeji kwa muda wa cku 2? fikiri kabla ya kutenda km jembe silaa, hv nan ashawah kujiulza kwann silaa alikaa kmya kwa muda mrefu bila kumzungumzia lowassa? sku zote tz 2tabak kuwa wajinga. usikurupuke ktk maamuz...
  6. J

    Ninani anayebisha kuwa Lowassa sio rais?

    tangu lin fisi akakabdhiwa butchery?! wachache msio na akili &msioweza kujiongeza mnashoboka na pexa zake sio? 20% aliwaambia tamaa mbaya. onen xaxa leo tyr kaxhavurupa ukawa yote, hv ths tym lowassa akiondoka chadema ghaflaaa.. mtabak na nan?? unamdharau babako mzaz unamheshmu rafk hv ww unaakil?
  7. J

    NASOMA CHUO KIKUU St. Augustine

    fika strabag hapo
Back
Top Bottom