Ninani anayebisha kuwa Lowassa sio rais?

Ninani anayebisha kuwa Lowassa sio rais?

Mnafiki,fisadi,mtu Wa Makundi,mwenye Tamaa Ya Madaraka,maneno Yake Na Vitendo Vyake Haviendani...

Tunataka facts sio zile hadithi za zamani eti wachaga wezi mara wapare wabahili. Huo ulimwengu hata kizazi chake hakipo tena.
 
Labdae Rais wa huko kwenu Monduli, sisi huku hatumjui kabisaaa na wala asitegemee wala kujidanganya kuwa ataingia Ikulu, hizo no ndoto za mchana kweupeeeee!!!

kanda ya ziwa kura ni kwa lowasa hutaki kunywa sumu ya panya
 
Anaebisha Lowasa sio raisi asubiri oct 25 wala huitaji kupigizana nao kelele mjinga siku zote hasomi nyakati
 
tangu lin fisi akakabdhiwa butchery?!
wachache msio na akili &msioweza kujiongeza mnashoboka na pexa zake sio?
20% aliwaambia tamaa mbaya.
onen xaxa leo tyr kaxhavurupa ukawa yote,
hv ths tym lowassa akiondoka chadema ghaflaaa.. mtabak na nan??
unamdharau babako mzaz unamheshmu rafk hv ww unaakil?
 
tangu lin fisi akakabdhiwa butchery?!
wachache msio na akili &msioweza kujiongeza mnashoboka na pexa zake sio?
20% aliwaambia tamaa mbaya.
onen xaxa leo tyr kaxhavurupa ukawa yote,
hv ths tym lowassa akiondoka chadema ghaflaaa.. mtabak na nan??
unamdharau babako mzaz unamheshmu rafk hv ww unaakil?

kajifunze kwanza kuandika punguani we
 
Anaebisha Lowasa sio raisi asubiri oct 25 wala huitaji kupigizana nao kelele mjinga siku zote hasomi nyakati

in mkapa voice"No wapumbavu na malofa tu ndiyo wanaoweza kuamini upuuzi huu"
 
Nimegundua Wana Ukawa Wengi Sio Wanamabadiliko Ila Ni Wapiga Ramli.Na Ndoto Zao Za Mabadiliko Zinaongozwa Na Nguvu Ya Mizimu.
Katika Hali Ya Kawaida Binadamu Mwenye Akili Timamu Hawezi Kuamini Kua Lowassa Anaweza Kua Raisi Wa Nchi Hii.
 
Hivi imechangiwa mära kkumi??jamii bwana..ila lowasa raisi
 
Watu wameuziwa mbuzi kwenye gunia. Wanahaha kuweka fiesta nchi nzima just kuwavutia watu kwenye mikutano.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom