Naomba ushauri juu ya mimba isiyo na baba

Naomba ushauri juu ya mimba isiyo na baba

Baki na mume wako wanaume wako wachache sana siku hizi..uliza rombo
 
MWANAMKE HAPIGWI!
Usipomwambia mume wako,utakuwa hukitendei haki kiumbe ulichokibeba. Itakuwaje mtoto akikua bila kumfahamu baba? Uko tayari kwa hilo? Kumbuka unaye mtoto mwingine anayemfahamu babake.
Kuhusu mume wako, kumbuka talaka haipeanwi kwa siku moja. Huenda ikachukua hata mwaka, sasa itakuwaje akijua una mimba? Moja kati ya mambo mawili yanaweza tokea: Huenda akajuwa ni ya ke, ambayo ni kweli, ama ni ya mtu mwingine, ambapo anaweza kukushtaki kwa uzinzi(infidelity).

LA KUFANYA
Bora uhame na mtoto wako ukaishi peke yako, halafu utafute talaka.
Halafu pia kutafuta 'abduction ya mtoto' ambapo utapewa ruhusa ya kuishi na mtoto wakati kesi ya talaka inaskilizwa na kuamuliwa.
Jambo muhimu ni ujiulize kama kweli unahitaji talaka. Kama utaweza kujikimu bila usaidizi wa mume wako. Lakini kama utakubaliwa talaka, huenda mkangawana majukumu ya kulea watoto, na pia mkagawana mali.
NAPINGA TALAKA LAKINI NAPINGA ZAIDI KUMPIGA MWANAMKE!
 
Dada tusidanganye. Mtu hawezi kutoka kazi halafu aanze kukupiga bila sababu, kuna kitu umemfanyia na hiyo ni kikubwa san. Wewe amua unsomba ushauri wa nini wakti mlipendana wenyewe?
 
Kuliko utoe mimba bora uitunze miezi tisa siyo mbali huyo mtoto uniletee nimtunze!
 
unakazi ? i mean unachanzo chochote cha mapato? kama hapana anza kujiongeza kama ndio endelea na maisha yako
 
Kuliko utoe mimba bora uitunze miezi tisa siyo mbali huyo mtoto uniletee nimtunze!

Jambazi muda wa kulea unao alafu mwenyewe muda wa uraiyani hunaa na polisi wanakusakaa wajaribishe risasi zao sasa wee huyo mtoto itakuwaje kama si kumwaribu kisaikolojia?
 
Habarini wenzangu,

Jamani mimi nimekutana na maswaibu makubwa sana hata sijajua namna ya kuyasuluhisha ndani ya moyo wangu.Nimekuwa nikisumbuana na mume wangu muda mrefu tokea tunaoana ila nimeendelea kumvumilia hadi tumezaa nae mtoto mmoja ambae kwa sasa ana miaka minne.

Wiki iliyopita sijajua mwenzangu kachanganyikiwa nini kaanza kunipiga wiki nzima bila sababu ya msingi kila akirudi anakuta nimelala na mtoto anaanza kunipiga hadi majirani wanakuja kuamulia siku ya nne alivyoanza tu kunipiga nikakimbia na kutorokea kwa wazazi kwa vile sio mbali sana na hapo tunapoishi na mume wangu kesi imeenda kwenye dawati la jinsia na wakanishauri nisimpeleke mahakamani kwa sababu kwa kosa lake hilo la kunipiga kila siku bila hata sababu angeshtakiwa kufungwa kuanzia mwaka mmoja hadi mitatu.

Niko bado kwenye kuona namna gani aadhibiwe mtu huyu na pia tulikuwa tumeshachokana sana.Cha ajabu leo nimeona siku zangu zimepitiliza kama wiki hivi ikanibidi nikanunue kipima mimba ili nipime kama ninayo au la, nilivyopima nikajikuta ninayo.

Uwiii mimi kwa mateso niliyoyapata kwa mwanaume huyu toka anioe sipendi kabisa kurudiana nae sasa kwa hali hii ya ujauzito wake nilionao nitafanyeje wadau yaani nimepanic nimekuwa kama kichaa maana akija kujua nina ishu yake hawezi kuniacha atanikomalia wakati mwanaume ni mtesaji kama polisi magereza.

Nakaribisha ushauri kwa pande zote maana nimedata. Nawaza je nitoe na sijui huwa wanatoaje mimba? Au je nilee mimba? Na nikiulizwa baba wa mtoto nani nikimtaja mume wangu atanirudia wakati ndo kwanza tumeachana.

Cjuuuiii ila sielewii mtu kuja na kukuvamia kukupga kuutwa bila sababu inaanzaaaje!

CHA MSING NI: Je unafkiri mume atakubali hiyo mimba na kuwalea vyema?
Mtoto uliyenaye na hiyo mimba ni ya mumeo?
kauli zako kwa mume zikoje?
matumizi yako ktk pesa nk za mume ukoje?
unadhani wataka mtoto mwingine leo au baadae?
kama utaongezaga mtoto ni bora uzae ukatulia kulea wanao na si kuja kuzaa tena kwngne ujitengenezee taifa la Israel&Palestina!
Mimba zinatolewa vzr tu mwendo wa dk 10 kwisha ila ni kosa la jinai Tanzania.
Kuna vidonge vya 50,000 inameza inaporomoa na kwa bei hyo wanakupa na vya kumeza jusafsha.
 
Dah! ushaur wangu usitoe preg coz watoto wanatafutwa xana kumbuka.
wangap wanatafuta mimba na hawapat na ujiulize kwann ww unapata speedly?
mungu anamakusud yake dada angu!
mungu anakupima ww unamsimamo gan. komaa hilo n tatzo dgo xaa..na!
halpaswi hata kuumiza kchwa,
ushaur mwngne n kwamba usijipelekepeleke xana kwake,kaa kimya ya muda fulan then ujione unathaman gan kwake?
ukifanya hvo utawin mpaka hutojiamin
 
Back
Top Bottom