Hawezi kuwa hata rais wa kuzimu
Slaa kabubujikwa mpaka povu la mwisho hakuna wa kumwelewa.ameishia kuvulia mpaka taulo aliyokuwa kabakisha.Lowasa ana upako
Tunataka facts sio zile hadithi za zamani eti wachaga wezi mara wapare wabahili. Huo ulimwengu hata kizazi chake hakipo tena.
Ndio maana nakwambia hizo ni hadithi
Mnafiki,fisadi,mtu Wa Makundi,mwenye Tamaa Ya Madaraka,maneno Yake Na Vitendo Vyake Haviendani...
Lowasa anapendwa sana na Watanzania
Una akili ndogo kama ya panya,panya akisha kudonoa kidole anakupulizia iliusisikie uchungu sindio?ufisadi wa loasa ndio umewekambele je umeshamuuliza magufuli akakujibu?ESCROW ya juzijuzi tu ni ya nani na amekupajibu eti ni ya nani?au ujafikiri kua tumesahau mereta,doans?au utanishangaa nikishangaa twiga kupanda ndege?je magufuli ameshakujibu kuhusu kupigambizi kigambon weee acha masiara.
kwani waziri mkuu anachaguliwa na bunge?
Kwa hiyo wewe tathimin yako ya nani atakuwa rais unaifanyia posta kwenye magazeti,polee sana
Nyie ndio mlio kula escrow