Recent content by juu

  1. J

    Msiba wa Komba: Kanisa Katoliki Mmejidhalilisha, Mmetufedhehesha

    I read somewhere that: "Not all Muslims are terrorists but at least many if not all terrorists are Muslims"
  2. J

    Msiba wa Komba: Kanisa Katoliki Mmejidhalilisha, Mmetufedhehesha

    Ndugu, nazani ulishausikia msemo usemao wakwanza atakuwa wa mwisho na wa mwisho anaweza kuwa wa kwanza. Haya mambo yalikuwepo hata wakati bwana wetu Yesu Kristo alipokuwa bado hapa duniani. Kwenye Bible yameelezewa hapa: Mathoyo 20: 1-16. Kaisome na uitafakari, inahusu wafanyakazi wa kwenye...
  3. J

    Msiba wa Komba: Kanisa Katoliki Mmejidhalilisha, Mmetufedhehesha

    Kilaza wewe, ongelea mada iliyopo jukwaani, please!
  4. J

    Msiba wa Komba: Kanisa Katoliki Mmejidhalilisha, Mmetufedhehesha

    Despite the challenges I was born, I remain and live, and I will die a Catholic because I know my true Identity. Changing from Holy Catholic to what you call dearest barbaric Pentecostal churches in the name of its popularity is simply madness! It will simply mean that someone's religious...
  5. J

    Serikali isipandishe mishahara!

    If I were to grade you, your score is 0%
  6. J

    Wazo la J'Pili: This Time For Africa...Vinginevyo Tujitenge!

    Nani kakwambia waKatoliki wa ukweli wanajali rangi na uAfrika wao? Ushauri wako umejaa ubaguzi na inaelekea wewe ni mtu wa kugombania zaidi mkate kuliko neno la Mungu. Ila kwa kuwa ushauri wako umejaa tamaa za kidunia zaidi na ulishajibiwa, kama unataka kujua majibu soma LUKA 4:1-13, mimi naona...
  7. J

    IQ of Tanzanian Presidents compare to American presdents

    Hacha kukomaa na vitu vidogo vidogo, unakuwa kama huyo rais wako. Hata wewe vile vile kingereza hujui, hebu angalia post yako hapo juu: ''Hivi DON'T ADVICE A MAD PERSONS'' ni kingereza sahihi?? Kwani nani hajui IQ ya jk ni ya chini sana. Nasikia aliwahi kukorofishana na Professor mmoja pale...
  8. J

    Salma Kikwete Cheo chake ni kipi kikatiba?

    Umesahu ya kuwa mke na hata watoto wa dictator nao dictators!
  9. J

    Juliana Shonza amlipua Mbowe

    Hana Udaktari wowote wa kutambulika huyo, alipewa zawadi na maprofessor wasiojihamini ili kumushukuru kwa kuwateua. Labda kama Ph.D. yake ni kwenye udhaifu wake wa kucheka au ya kusalimia waliokufa!
  10. J

    Mauaji ya Padre: Askofu Pengo ailaumu Serikali ya Rais Kikwete

    Mpende adui yako, maana kama unawapenda rafiki zako tu hujafanya lolote jipya kwani hata mashetani, wabakaji wa siasa, mafisadi, wauaji, n.k wanapendana wenyewe kwa wenyewe. Hivyo tuzidi kuwapenda na kuwaombea hawa jamaa zetu ipo siku Mungu atasikia sala zetu na watabadilika tu. Huu ndiyo msingi...
  11. J

    Josephat Isango, Mhariri wa Habari Tanzania Daima akamatwa na Polisi

    Dr. dhaifu na wanae wote yale yale. Wakiambiwa ukweli wanafunika kombe ili uhalamu wao upite. Watu wakishauana kwa hasira anakuwa wa kwanza kwenda kusalimia maiti - sijui ndivyo mganga wake wa kienyeji alivyomuagiza. ebu badilikeni basi, hizi tamaa zote za nini? nikukumbushe tu kuwa kabulini...
  12. J

    Kikwete: Waliochochea ukabila ndio wanachochea udini leo...

    Hii ndiyo Tz, nazani tufike mahali tuutangazie ulimwengu kwamba nchi yetu inafuata utawala wa kifalme ambapo mtu yeyote kutoka familia ya mfalme hata kama ni kilaza anaruhusiwa kutawala: baba-sisim, mama-sisim, na watoto-sisim - alafu tunaubiliwa democrasia. Hivi ukienda kinyume na matakwa ya...
  13. J

    Makanisa yavunje MoU na Serikali...

    Wanawake wengi ndio maendeleo ya waharabu!! Uzi*zi kwa kwenda mbele hata mzee mtoto atakuwa karidhi kutoka kwao. Hata ukichumguza vizuri kwenye mikoa uliyotaja wenyeji wengi kazi ni yao kubwa ni hiyo hiyo, kucheza ngoma, ushirikina, vijiwe kwa wingi n.k yaani mambo ya kipuuzi ndiyo jadi yao
  14. J

    Makanisa yavunje MoU na Serikali...

    Mnalalamikia MoU, je zile hela mlizoficha uswizi zingejenga shule na hospitali ngapi? Na yule jamaa aliyejigeuza njiwa kila siku anapaa kwa kutumia kodi zetu, je hata hiyo hamuoni kama ni hujuma. Ninyi kweli hamnazo!!!
  15. J

    Makanisa yavunje MoU na Serikali...

    Issue siyo MOU hii dini yenu ni kizungumukuti duniani kote. Hata mataifa ambayo karibia watu wote ni wafuasi wa hii dini hawaelewani kabisaa na ndizo nchi zinazoongoza kwa vurugu. Hapa kwetu, hakika hamna budi kushukuru sana hao mnaowaita makafiri kwa namna nyingine ndiyo wanasaidia muonekane...
Back
Top Bottom