Recent content by Justine Bwanali

  1. Justine Bwanali

    Tunafunga na kuuza vioo vya TV

    POA MKUU
  2. Justine Bwanali

    Tunafunga na kuuza vioo vya TV

    MKUU NINA LG SMART TV INCH 49 IMEVUNJIKA KIOO, NAWEZA KUPATA HIKI KIOO NA BEI NI SHILINGI NGAPI? MODEL No: 46UJ651V-TA, POWER:AC 100-240V-50/60Hz 1.2A, SERIAL 802SREUNE588. Namba ya kioo: LG Display co, ltd. P/N:6870S-2440B. DISIGNED:16.09.26, DESC:V17...
  3. Justine Bwanali

    Tunafunga na kuuza vioo vya TV

    NAOMBA NAMBA YA HUYO FUNDI CHINA
  4. Justine Bwanali

    Niulize chochote kuhusu Subwoofer na Sounds system

    N NIUZIE HIYO KT 2913....NIPE BEI
  5. Justine Bwanali

    Niulize chochote kuhusu Subwoofer na Sounds system

    KWA DSM, OFISI YENU IPO WAPI ILI NILETE SUBWOOFER YANGU KWA AJILI YA KUIPA NGUVU ZAIDI?
  6. Justine Bwanali

    Je, ni Speed gani kubwa zaidi ushawahi kutembea na gari au pikipiki?

    HIY O RANGE SI KWAMBA ULIIACHA KWA KUDHANI KWAMBA UNA ENGINE YENYE UWEZO LA ASHA, ULIMUACHA KWA KUWA HAKUPENDA LIGI NAWE NA MARA NYINGI HIZI RANGE UENDESHWA NA WAZEE.. ALTEZA NA SUBARU MARA NYINGI UENDESHWA NA VIJANA... RIKA ILI UPENDA LIGI KTK NYANJA ZOTE ZA KIMAISHA.
  7. Justine Bwanali

    Engine oil gani ni nzuri kwa Gari aina ya IST?

    Hongera sana, maana nilpoona tu Society of Automobiles Engineers (SAE). Nikajua utakachoshauri ni sahihi, kwa kuwa umesawasoma hao wataalamu
  8. Justine Bwanali

    Jipatie software mbalimbali za windows na mac

    MKUU HABARI YAKO? MI NAOMBA MSAHADA WA LICENSE KEY ZA TUBEMATE DOWNLOADER
  9. Justine Bwanali

    Uliza software yeyote hapa

    Samahani waweza kunitumia key zake? maana inataka hizo
  10. Justine Bwanali

    Msaada fundi wa TV flat screen, TV yangu imegoma kuwaka

    Hizi taa za led naweza kuzipata ktk maduka gani, Sanjari na ilo nitakapoenda kununua ninatakiwa niwe na details zipi zenye uhusiano na Tv yenye tatizo husika?
  11. Justine Bwanali

    Msaada wa Magic Remote na LG Tv

    Hiyo kitu inauzwa 150,000/=
  12. Justine Bwanali

    Kikuu vs AliExpress

    NAOMBA KUJUA JINSI YA KUNUNUA KITU ONLINE KUPITIA ALIEXPRESS....NI TARATIBU GANI ZA KUZIFUATA? MAANA NATAMANI SANA KUNUNUA VITU HUKO ILA SIJUI NJIA Sent using Jamii Forums mobile app
  13. Justine Bwanali

    Ni aina ipi ya sub woofer ni nzuri?

    CHECK INBOX MKUU... Sent using Jamii Forums mobile app
Back
Top Bottom