Kila lenye zuri ujue halikosi baya,tafsiri yake ya msemo huu ni kwamba Mazuri aliyoanza kuyafanya na kuanza kufichua mafisadi kuwasimamisha kazi viongozi mbalimbali tulifurahi sana na tukampongeza lakini hatukuweza kufikiri kama atakuja kwa upande mwingine,ndo mana nasema kuwa mazuri...
Hawana lolote wameshaanza wanataka kukushia mapenzi yao kwani mahawala huwa hawaachani siku wakijisikia na kila mmoja kamiss shoo ya mwenzie basis wanatafutana kimya kimya na wanamaliza kimyakimya!!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.