Habari za asubuhi, mchana, jioni,
Natangaliza heshima kwenu na administration nzima ya JF,
Mimi ni askari mgambo nilihitmu mafunzo yangu ya awali mwaka 2013 wilayani Missenyi, mkoani Kagera. Kutokana na tatizo la ajira wilayani na vituo vya police kua finyu niliajiriwa kwenye kampun ya...