Kituko
JF-Expert Member
- Jan 12, 2009
- 9,555
- 9,368
Mmmmh!! kazi ipo
Naona unashangaa,
Vijana wa Zamani hao (36-40) wamechachamaa
Mmmmh!! kazi ipo
Bytheway nafanya kazi nimeajiriwa katika NGO fulani am not a goal digger
Naona unashangaa,
Vijana wa Zamani hao (36-40) wamechachamaa
hapana serenget boy........stooooop
hahahaaaaaaaa pole.....sio kesi utampata mwenye anataka handsome boyzvigezo vyoooooooooote ninavyo ila tatizo ni kwamba nina mvuto sana mpaka ninaboa.... najuta kuwa handsome
kila mtu na baati yake ......so hainipi shida saanaaKama unatafuta ndoa humu pole sana...kuna wenzako wengi humu wamelizwa na hawatamani kutoa tangazo tena
njoo wew basiiUshapata
hahahaaaaaaaa pole.....sio kesi utampata mwenye anataka handsome boyz
natafuta mwanaume anaejielewa, mwenye kumcha mungu na awe na kazi ya kumuingizia kipato...asiwe na mtt zaid ya mmoja,awe mnene kidogo mref saiz ila sio saanaa na awe tayari kunipenda na awe nasty in bed..awe na miaka 36-40.
awe mkristo..na awe na mvuto kidogo ila sio sana maana sana inaboaa