Recent content by JUNIOR GONG

  1. JUNIOR GONG

    Niulize chochote nikujibu

    Ulifikiria nini kuanzisha uzi huu?
  2. JUNIOR GONG

    Msaada tafadhali: Maumivu makali ya mgongo ninapoinamisha Kichwa chini au kuangalia juu

    Hilo ni tatizo la pingiri, nakushauri wahi hospitali mapema.
  3. JUNIOR GONG

    Kumbe safari ya Arusha Mpaka Kenya (Nairobi) ni masaa matatu mpaka nne, Basi Haichoshi kabisa,naweza enda na kurudi chap kulitumikia taifa langu

    Kwahiyo inawezekana mtu akaenda Nairobi akapiga tukio fasta na kurudi zake Arusha akaendelea na mishe zake kama kawa.
  4. JUNIOR GONG

    Nahisi panaelekea kukucha, inshu ya Ben Saanane huenda watu wengi wakahusika zaidi

    Umenifanya nitafakari kwa kina kupigwa risasi TAL.
  5. JUNIOR GONG

    Yanga yamuuza Feisal kwa Azam FC

    Mimi pia nimewaza kwa kina sana Jambo hili
  6. JUNIOR GONG

    Yaliyonikuta Ziwa Rukwa sitokaa niyasahau

    Mkuu nikiri wazi kwamba huko nilitoka miaka mingi sana zaidi ya 20, ninavyofahamu ukifika Ilemba unapita kijiji kimojawapo kinaitwa Solola kisha unafika kijiji cha Nankanga ambapo kipo ziwa Rukwa. Sasa naomba kuuliza ulipitia njia gani baada ya kutoka Ilemba maana unasema ulipita vijiji kadhaa...
  7. JUNIOR GONG

    Kabila la wazanaki

    Habari za weekend wakuu? Natumaini mko salama, kwa ambao hawako sawa Mungu awafanyie wepesi mrudi katika khali zenu nzuri za kila siku. Ombi langu kwenu ni kwamba miaka kadhaa nyuma nilisoma thread moja humu inaelezea chimbuko la kabila la WAZANAKI, kama sijakosea maelezo yake yalianzia kwenye...
  8. JUNIOR GONG

    Wakuu nini itakuwa mbadala wa mifuko ya plastiki?

    Naomba kuuliza kwa sisi tunaofanya biashara ya kuuza ubuyu, karanga, icecream na bisi? Je mifuko hii ya kufungia bidhaa hizo imepigwa marufuku pia?
  9. JUNIOR GONG

    Goli la Ajibu unaweza kuchukulia mkopo bank yoyote ile duniani

    Mkuu kama umeshawahi kucheza mpira kiroho safi kubali tu matokeo kwamba goli ni zuri!!
  10. JUNIOR GONG

    Mtoto kukosa Choo

    Asante mkuu
  11. JUNIOR GONG

    Mtoto kukosa Choo

    Asante kwa ushauri mkuu nitauzingatia, pia ningependa kufahamu huwa inaweza kuzidi siku tano hajapata Choo??
Back
Top Bottom