Recent content by Jung Levi

  1. Jung Levi

    Nataka nianzishe kabila langu. Je, inawezekana?

    Ni vigezo gani utatumia kuwachuja hao wenye Akili?
  2. Jung Levi

    Wapi naweza pata shule yenye mahitaji maalum?

    Njombe kuna Shule ya Viziwi ambayo na Mabubu pia wanasoma na Mafinga au Mafinga pia ipo. Sent from my SM-N770F using JamiiForums mobile app
  3. Jung Levi

    Clearing and fowarding

    Umeshapata msaada au bado?
  4. Jung Levi

    Hivi ukija kujua hili kama wewe utafanyaje?

    Wanaume nao wanaruhusiwa kujibu hili swali?
  5. Jung Levi

    Safari ya kwanza ya Rais Samia Ulaya ni vizuri iwe Ujerumani

    Ikiwezekana aitafute Astrazeneca kabisa
  6. Jung Levi

    Safari ya kwanza ya Rais Samia Ulaya ni vizuri iwe Ujerumani

    Hadi Covid 19 ipungue na Rais wetu apate hiyo nafasi Angela Merkel atakuwa siyo Kansela wa Ujerumani tena.
  7. Jung Levi

    Tupe mkasa wako ulivyoishia kumuoa uliyedhani utapiga na kusepa

    Bado sijaoa lakini pale nilipopanga kupita nahisi panaelekea kuwa mke sasa inabidi nipate ushauri namna ya kujinasua.[emoji854]
  8. Jung Levi

    GE2020 Joseph Selasini wa NCCR Mageuzi avunja rekodi kwa watu kibao

    Alafu inaonekana waliohudhuria wengi sio wapiga Kura.
  9. Jung Levi

    Wazungu na nywele zenye rangi, appearance tofauti

    Hata kwa sisi Waafrika ni hivyohivyo kujibagua kupo.
  10. Jung Levi

    Kwanini wahandisi wazuri sana duniani (Magari, Mitambo) wanapatikana nchini Ujerumani? Siri yao ni ipi hasa?

    Hili swali nilipata majibu yake jana kutoka kwa babu Babu anasema miaka ya nyuma kusomea ufundi wowote mf. Uashi, useremala n.k ilikuwa unasoma miaka 3 alafu unatakiwa uzunguke kwenye karakana mbalimbali kufanya kazi kwa kipindi cha miaka 3 tena ili kupata ujuzi tofautitofauti inaitwa...
  11. Jung Levi

    Nyalandu: Nilikuwa msaidizi wa mama Mkapa kwahiyo nilisafiri sana huko duniani na Rais Mkapa!

    [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
  12. Jung Levi

    Msaada kujuzwa gharama za ultrasound kwa hospital mbalimbali hapa Dsm

    Hii bei ni kwa kucheki mimba tu au hata vitu vingine? Sent using Jamii Forums mobile app
  13. Jung Levi

    Mjomba wangu sitakusahau

    Mtanesco unachimba Mashimo, Mjomba hakukuambia kuwa umeme ni hatari pole sasa ungepata ya udaktari tungepona kweli? Sent using Jamii Forums mobile app
  14. Jung Levi

    Tofauti ya neno "Fahamu" na "Kujua"

    Kwaiyo mtu anaanza kujua alafu anafahamu?
Back
Top Bottom