Hili swali nilipata majibu yake jana kutoka kwa babu
Babu anasema miaka ya nyuma kusomea ufundi wowote mf. Uashi, useremala n.k ilikuwa unasoma miaka 3 alafu unatakiwa uzunguke kwenye karakana mbalimbali kufanya kazi kwa kipindi cha miaka 3 tena ili kupata ujuzi tofautitofauti inaitwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.