Recent content by Jumong S

  1. Jumong S

    JamiiForums Tanzania Padri Kitima: Bado hatujamsikia Rais akisema neno 'Samahani' kwa yaliyotokea

    Jini linaombaga samahani?
  2. Jumong S

    JamiiForums Tanzania WAKILI MAARUFU MADELEKA KUPEWA KESI YA UGAIDI ?

    na wote tunaokomenti hapa ni magaidi
  3. Jumong S

    JamiiForums Tanzania Kwanini lissu anapenda kutumia NENO kuwakaanga mashahidi?

    kwa sababu kweli wakitoka pale wananukia ka bisi zilizoungua
  4. Jumong S

    JamiiForums Tanzania Rais Samia akutana na Viongozi wa TEC - Ikulu, Chamwino

    Hawa TEC hawaizagi mechi kidwanzi, watamsikiliza ila msimamo ni ule ule
  5. Jumong S

    JamiiForums Tanzania Wazee wenzangu vipi huko? Ni Mimi pekee ndiye nashindwa kutumia hii app mpya?

    naona kwangu natereza tuuu
  6. Jumong S

    JamiiForums Tanzania KERO Bima ya Afya ya Jeshi(JWTZ) haitusaidii Wanajeshi na Familia zetu

    Hii si kweli, nina ushuhuda, kuna hosp kibao tena RRH zinapokea na wateja wanahudumiwa na madaktari bingwa na bi gwa bobezi....hilo eneo ulilopo hama...au mna misinformation
  7. Jumong S

    JamiiForums Tanzania Responded Wizara ya Michezo na TAMISEMI wako wapi wakati viwanja vya michezo na maeneo ya kijamii vikiendelea kubadilishiwa matumizi?

    Serikali haina hela wala wafadhiri, inakusanya pesa kwa wawekezaji
  8. Jumong S

    JamiiForums Tanzania Mfalme Suleiman (Solomon) alikuwa na wake 700 na michepuko 300 kweli? Kwanini?

    Aisee hesabu zinagoma, yaani wanawake 1000 kuwawekea utambi kila siku mmoja means mzunguko ni miaka takribani 3 au ukiamua kula wawili kwa siku ni siku 500. Hii naona imekaa kitapeli. Vitabu vya dini vinatupanga sana. Eti Mtume aliugawanya mwezi vipande viwili😀 hizi dini zinatuonaje kwa mfano...
  9. Jumong S

    JamiiForums Tanzania HOJA Wanafunzi wa Udaktari St. Francis Referral Hospital kuzuiwa kuwa na simu kwa Saa 10 hadi 11 si jambo zuri

    Hebu niwachalenji Gen Z Drs mmekosa kabisa namna ya kudai haki zenu na akajua hivyo? Huyo mjeshi ni mtu wa afya? kwa nini ana-lack some small issues? Au kuna dem wa class zenu kamnyima mbususu? maaana hii mijamaa inajuaga kuforce force tu. Dunia imebadilika hii, digital hauwez kuidhibiti ila...
  10. Jumong S

    JamiiForums Tanzania HOJA Wanafunzi wa Udaktari St. Francis Referral Hospital kuzuiwa kuwa na simu kwa Saa 10 hadi 11 si jambo zuri

    🤣🤣sasa jeshi na afya wapi na wapi. Mmekosa mtu wa maana? si atakua anawachapa mpk mikwaju kweli? Sasa makamera hawachungulii kweli na visivyochungulika?
  11. Jumong S

    JamiiForums Tanzania Sielewi kuhusu 5000 years civilization ya wachina, wahindi, arabs, persians &co.!

    Kwamba? nadhani upo shallow kwenye historia na haupo update...hebu kaulize hata AI au Chatgpt wataku-update...
  12. Jumong S

    JamiiForums Tanzania HOJA Wanafunzi wa Udaktari St. Francis Referral Hospital kuzuiwa kuwa na simu kwa Saa 10 hadi 11 si jambo zuri

    Med bila simu hamtoboi...hizi sio zama za giza, Phone z everything. Nadhan kutakua na kiongozi mshamba kavamia jahazi au na yy atakua felia...anaona simu ni anasa! Madarasa nje ya hosp mnaruhusiwa? Kiongoz wa hosp atakua sio padre, ni nani? Poleni
  13. Jumong S

    JamiiForums Tanzania Dar Pekee waliokufa ni zaidi ya elfu 10!!

    halafu eti tuna Jeshi la wananchi🚮
Back
Top Bottom