Hii si kweli, nina ushuhuda, kuna hosp kibao tena RRH zinapokea na wateja wanahudumiwa na madaktari bingwa na bi gwa bobezi....hilo eneo ulilopo hama...au mna misinformation
Aisee hesabu zinagoma, yaani wanawake 1000 kuwawekea utambi kila siku mmoja means mzunguko ni miaka takribani 3 au ukiamua kula wawili kwa siku ni siku 500. Hii naona imekaa kitapeli. Vitabu vya dini vinatupanga sana.
Eti Mtume aliugawanya mwezi vipande viwili😀 hizi dini zinatuonaje kwa mfano...
Hebu niwachalenji Gen Z Drs mmekosa kabisa namna ya kudai haki zenu na akajua hivyo? Huyo mjeshi ni mtu wa afya? kwa nini ana-lack some small issues? Au kuna dem wa class zenu kamnyima mbususu? maaana hii mijamaa inajuaga kuforce force tu.
Dunia imebadilika hii, digital hauwez kuidhibiti ila...
🤣🤣sasa jeshi na afya wapi na wapi. Mmekosa mtu wa maana? si atakua anawachapa mpk mikwaju kweli? Sasa makamera hawachungulii kweli na visivyochungulika?
Med bila simu hamtoboi...hizi sio zama za giza, Phone z everything. Nadhan kutakua na kiongozi mshamba kavamia jahazi au na yy atakua felia...anaona simu ni anasa! Madarasa nje ya hosp mnaruhusiwa? Kiongoz wa hosp atakua sio padre, ni nani? Poleni
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.