Recent content by Jumong S

  1. Jumong S

    JamiiForums Tanzania HOJA Wanafunzi wa Udaktari St. Francis Referral Hospital kuzuiwa kuwa na simu kwa Saa 10 hadi 11 si jambo zuri

    Med bila simu hamtoboi...hizi sio zama za giza, Phone z everything. Nadhan kutakua na kiongozi mshamba kavamia jahazi au na yy atakua felia...anaona simu ni anasa! Madarasa nje ya hosp mnaruhusiwa? Kiongoz wa hosp atakua sio padre, ni nani? Poleni
  2. Jumong S

    JamiiForums Tanzania Dar Pekee waliokufa ni zaidi ya elfu 10!!

    halafu eti tuna Jeshi la wananchi🚮
  3. Jumong S

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Baraza la maaskofu Tanzania (TEC) mnatukosea sana wakatoliki

    Mpuuzi mmoja, hamia BAKWATA
  4. Jumong S

    JamiiForums Tanzania Mrejesho wa Safari yangu ya Dar Kigoma na kurudi Dar. Nimetumia mafuta ya Tsh 230,000/= tu!

    Asee consumption ya fuel ipo so low. Hope umeme umetumika bara bara. Kudos asee
  5. Jumong S

    JamiiForums Tanzania Dr. Love Coach

    Mkuu unayaonaje mahusiano ya zama hizi za social media? how do u predict the impact by 2040s?
  6. Jumong S

    JamiiForums Tanzania Maxence Melo: Ofisi za JamiiForums, Mikocheni 'zimevamiwa'

    mkuu naomba link nikale madini kabla haya majamaa maoga hayajatuvamia hapa jukwaani
  7. Jumong S

    JamiiForums Tanzania Polepole episode 5 ni dk 50 zijazo ila anaweza kuwahi pia

    Leo hawa kenge wametuotea....bado balozi hajaconnect!! tupo hapa mpk asbh
  8. Jumong S

    JamiiForums Tanzania GE2025 Tundu Lissu: Sasa ile hofu yangu inatimia, kesi ya uhaini ambayo adhabu yake ni kifo inafanyika gizani ili watu wasijue

    Shahidi wa kwanza wa gizani Yericko Nyerere aliyetimkia chama cha Ubwabwa tushambaini
  9. Jumong S

    JamiiForums Tanzania Mohammed Hussein athibitisha kuondoka Simba

    Best of luck
  10. Jumong S

    JamiiForums Tanzania Tabia za wanawake wa Kilimanjaro

    wa kwangu ni mkimya mpaka namuogopa...yaani nisipomtafuta ndo unitolee. Hapa nabuni mbinu ya kutoka nduki tu...ka na-date CIA
Back
Top Bottom