Sielewi kuhusu 5000 years civilization ya wachina, wahindi, arabs, persians &co.!

Sielewi kuhusu 5000 years civilization ya wachina, wahindi, arabs, persians &co.!

Status
Not open for further replies.
Wachina ni wasanii na wezi wa teknolojia.Hawana lolote jipya zaidi ya kufinyanga vyungu na vikombe.
Hakuna kipya dunia hii wao uwizi wao unawasaidia Sisi uongo,masimango ,majungu ,ujinga kiwango cha juu vimetufikisha wapi zaidi ya kutegemea hao wezi
 
Naanza mara moja, kama vile wewe ulivyodadisi miaka 5000 ya Near East and their Civilization. Niliwahi kusema hapa hapa JF kuwa hawa Wazungu waliwahi ktk miaka nyuma, hasa karne ya 18 na ya 19, kuwa walipoteza mabilioni ya fedha zao na muda wao mwingi yaani miaka mingi ktk kufuatilia na kudadisi kwa nini imekuwa hivi.

Yaani Haya binadamu chanzo chake ni nini, mabadiliko yake, maendeleo yake, alianzia wapi, na je, kuna msukumo toka nje yake, ama ni yeye mwenyewe?

Na, pia je, ktk ulimwengu huu, chanzo cha ustaraabu huu na maandiko haya ni nani kaanzisha toka wapi na ni sehemu gani ya dunia hii? Wengi wao, Wazungu walijua watakuwa Wagriki, Wa Taliano ama ni Wamisri.

Baada ya hawa Wazungu kufuatilia sana, ktk Historia ya kule MESOPOTAMIA, ndipo walipokuta mabaki ya kale ya majengo.

Humo kwenye mabaki ambayo yalikuwepo miaka mingi sana kabla ya Kristo. Ni kwamba ustaarabu huu tuuonao ulianzia huko.

Kwa ufupi ulianzia IRAQ na IRAN kwa maeneo ya ramani za miaka hii. Kila kitu kilianzia kule. Vilisambaa ktk eneo kubwa sana la dunia ikiwepo CHINA, AMERICA hasa ya kusini. Hapa hebu soma kitabu cha mwandishi mtafiri mwanahistiria/sayansi, pata kitu cha ukweli ili utoke nje ya chupa, ongeza na watafiti waandishi wengine wa mambo kale.

Mwandidhi huyu ni ZECHARIAH SITCHIN katika kitabu chake cha " THE 12th PLANET"
Soma taratibu kitabu chote na linganisha na vitabu vingine vya Wazungu ambavyo wanajisifu na kupotosha, pia utapata hata vyanzo vya dini hizi kuu pamoja na maandiko ya kitabu cha Biblia, ni kwamba wametoa huko, yaani walikopi na kuweka janja nyingi kadri ya mapokeo yao.

( NB: usiwe biased sehemu yoyote kiimani ama kisayansi) Baada ya kumaliza kusoma kitabu chote, hapo waweza kupata majibu ya maswali yako uliyoyauliza pia pamoja na lukuki ya uelewa mkubwa sana, hasa juu ya maendeleo haya makubwa ya kisayansi tuliyo nayo sasa hivi, kumbe yalishakuwepo, tena very "ADVANCED"
Haya karibu.
 
Nakupenda Seran jinsi unavyomjaza Kaka yako mnywaVisungura, mpe bichwa mjaze kwa akili zake ndogo za Visungura lijione bonge la Jasusi kumbe mataputapu ?

Seran mjaze ajione mwamba asikimbie huu uzi ajibu hoja jino kwa jino bila kuacha ndala , najiamini siwezi shindwa hoja na mnywa Visungura.

Akili ya Visungura haiwezi shindana na Mimi , seran mjaze asikimbie mpe promo aongeze visungura kijiweni hapo mechi iendelee
Dahh jamani🤣
 
Wanawake noma kwa kucheza na saikolojia ya Mwanaume , Mwanaume linaweza kujiona mwamba kumbe Mwanamke anamfanyia maigizo tu.

Seran mlete kaka yako uwepo wako muhimu sana jamaa apate morali zaidi, ngoja niweke simu chaji nisubiri mnywaVisungura arudi maana ulivyomsifia hapo limekenua ameshaiba hela kukimbilia kuongeza Visungura vingine kilabuni aje kutema mataputapu humu
Dahh nyie jamani🙌🏾
 
Mkuu kabla hujaleta mada uwe unafanya tafiti ata kidogo kuepuka fedheha.
Sina muda wa kuandika lakini nchi zilizoanza kuwa civilized mapema kwa upeo wangu mdogo ni izi

1. Iraq
2. Egypt
3. India
4. China
5. Mexico & Peru

na hao wote walikua civilized kabla ya ujio wa Yesu/Nabii Isa.

Mambo ya dini siyajui sana ila mimi sio muslim, jiulize tu swali dogo kwann wazungu walikua wana explore dunia?
 
Sijawahi kuelewa hii inayosifiwa sana na kuitwa 5000 years of continous civilization ya wachina au siju persians, swali langu ni kwamba how come chinese hawajawahi kuunda gari, tv, simu, umeme kama tuuajuavyo leo hii, hawajawahi kwenda space, hawajawahi kuunda rocket, missiles, microscopes, electrical appliances, micro chips, hawajawahi kuwa na manufacturing industries.

Chinese au sijui persians hawajawahi kuunda trains, hawakuanzisha internet, hawakuelezea khs genetics, DNA, genes and chromosomes, blood groups, hawakuanzisha chemical plants, aspirin, hawakujenga oil refineries, nguo kama jeans, suits, boxer shorts, hawakuwa na research universities, college na high schools.

Hiyo civilization yao ya miaka 5000 ni ya nini na walikuwa wanafanya nini? binafsi siamini kama ni kweli mambo mengi yanadanganywa hasa ya kihistoria kwa maana chinese, arabs, afrikans, indians, asians bila ya western Christian capitalistic system walikuwa dirt poor and uncivilized …
Mzungu alijua sana kutawala akili zetu kila kitu unachojua alijitahidi sana kujipenyeza aonekane yeye ndio founder
Assume hata mt. Kilimanjaro means kabla haukuwa na jina, mifupa ya binadamu wa kwanza.
 
Sijawahi kuelewa hii inayosifiwa sana na kuitwa 5000 years of continous civilization ya wachina au siju persians, swali langu ni kwamba how come chinese hawajawahi kuunda gari, tv, simu, umeme kama tuuajuavyo leo hii, hawajawahi kwenda space, hawajawahi kuunda rocket, missiles, microscopes, electrical appliances, micro chips, hawajawahi kuwa na manufacturing industries.

Chinese au sijui persians hawajawahi kuunda trains, hawakuanzisha internet, hawakuelezea khs genetics, DNA, genes and chromosomes, blood groups, hawakuanzisha chemical plants, aspirin, hawakujenga oil refineries, nguo kama jeans, suits, boxer shorts, hawakuwa na research universities, college na high schools.

Hiyo civilization yao ya miaka 5000 ni ya nini na walikuwa wanafanya nini? binafsi siamini kama ni kweli mambo mengi yanadanganywa hasa ya kihistoria kwa maana chinese, arabs, afrikans, indians, asians bila ya western Christian capitalistic system walikuwa dirt poor and uncivilized …

Kwako wewe civilization ni kuwa na umeme, simu au internet tu ...!!?

Hivi wakati mchina anajenga the Great Wall hao wenye internet wanaweza kujenga nini...!!?
 
Sijawahi kuelewa hii inayosifiwa sana na kuitwa 5000 years of continous civilization ya wachina au siju persians, swali langu ni kwamba how come chinese hawajawahi kuunda gari, tv, simu, umeme kama tuuajuavyo leo hii, hawajawahi kwenda space, hawajawahi kuunda rocket, missiles, microscopes, electrical appliances, micro chips, hawajawahi kuwa na manufacturing industries.

Chinese au sijui persians hawajawahi kuunda trains, hawakuanzisha internet, hawakuelezea khs genetics na genes and chromosomes, blood groups, hawakuanzisha chemical plants, aspirin, hawakujenga oil refineries, nguo kama jeans, suits, boxer shorts, hawakuwa na research universities, college na high schools.

Hiyo civilization yao ya miaka 5000 ni ya nini na walikuwa wanafanya nini? binafsi siamini kama ni kweli mambo mengi yanadanganywa hasa ya kihistoria kwa maana chinese, arabs, afrikans, indians, asians bila ya western Christian capitalistic system walikuwa dirt poor and uncivilized …
Sababu wewe Akili yako ndio umeweka huko, gunduzi nyingi unazoziona karibuni ni sababu ya mafuta, mafuta ndio yameleta abundant raw material ambayo haikuwepo mwanzo, naweza kukuuliza same thing kwanini wazungu hawajagundua internet 1800s ama 1700s ama 1600s etc, utakuja jibu pale pale. Na gunduzi za Leo zisingekuwepo incase wangeanza from scratch, wameweza kugundua kutokana na kutumia gunduzi za wenzao

Ukiangalia hapo middle East, Dunia yetu ya Leo inaendeshwa na Algorithm kuanzia hizo computer, internet na mambo mengi uliyotaja hakuna Algorithm bila Al khawarizim, Baba wa hisabati ambaye Aneandika formula nyingi,

Hizi ni Tool alizotumia Al zahrawi Baba wa upasuaji, same things ukienda Leo hospitali utazikuta
albucasis-08.jpg


Suruali unayovaa Leo wapersia ndio wameisambaza Duniani, pengine ungekua umepiga kimini chako sasa hivi unawaiga wazungu

Ukienda China utakuta gunduzi za Karatasi na kuprint, bila Karatasi hakuna vitabu vingi na bila vitabu kusambaa knowledge ingesambaa vipi Dunia nzima?

Wachina pia wamegundua Baruti, Leo hizo bunduki, makombora etc source yake utaipatia hapo hapo.

Wagundua pia vitu kama Compass, Earthquake detector, chai, saa na mambo mengi.

Long story short civilisation haishii kwenye gunduzi Tu Bali ni way of life.

Nimewahi Kutoa mfano mzuri humu, hao watu wa Middle East na Africa ndio wamewafundisha watu wa Ulaya kuoga kila siku, kupiga mswaki, kujiremba etc there was A time Ulaya kutokuoga ilikua ni sifa, Mfalme anajisifia maisha yake yote ameoga mara 3, mwengine anajisifia anaoga mara 1 kwa mwezi etc. hata mabaki ya Crusaders yanaonesha sifa yao ilikua ni Uchafu.

Leo hii kwa siku MTU anaoga mara kadhaa na anapiga mswaki mara kadhaa, akitoka anahakikisha manukato kidogo kajipaka huoni kwamba ni civilisation hio?
 
Ukikuta watu wana alfabet zao na kuunda maneno kwa sauti zao za asili waheshimu
 
Wakuu tuanze na Civilization ni nini?
Ili tuweze kukubaliana na Chinese civilization au la!
 
Sababu wewe Akili yako ndio umeweka huko, gunduzi nyingi unazoziona karibuni ni sababu ya mafuta, mafuta ndio yameleta abundant raw material ambayo haikuwepo mwanzo, naweza kukuuliza same thing kwanini wazungu hawajagundua internet 1800s ama 1700s ama 1600s etc, utakuja jibu pale pale. Na gunduzi za Leo zisingekuwepo incase wangeanza from scratch, wameweza kugundua kutokana na kutumia gunduzi za wenzao

Ukiangalia hapo middle East, Dunia yetu ya Leo inaendeshwa na Algorithm kuanzia hizo computer, internet na mambo mengi uliyotaja hakuna Algorithm bila Al khawarizim, Baba wa hisabati ambaye Aneandika formula nyingi,

Hizi ni Tool alizotumia Al zahrawi Baba wa upasuaji, same things ukienda Leo hospitali utazikuta
View attachment 3604092

Suruali unayovaa Leo wapersia ndio wameisambaza Duniani, pengine ungekua umepiga kimini chako sasa hivi unawaiga wazungu

Ukienda China utakuta gunduzi za Karatasi na kuprint, bila Karatasi hakuna vitabu vingi na bila vitabu kusambaa knowledge ingesambaa vipi Dunia nzima?

Wachina pia wamegundua Baruti, Leo hizo bunduki, makombora etc source yake utaipatia hapo hapo.

Wagundua pia vitu kama Compass, Earthquake detector, chai, saa na mambo mengi.

Long story short civilisation haishii kwenye gunduzi Tu Bali ni way of life.

Nimewahi Kutoa mfano mzuri humu, hao watu wa Middle East na Africa ndio wamewafundisha watu wa Ulaya kuoga kila siku, kupiga mswaki, kujiremba etc there was A time Ulaya kutokuoga ilikua ni sifa, Mfalme anajisifia maisha yake yote ameoga mara 3, mwengine anajisifia anaoga mara 1 kwa mwezi etc. hata mabaki ya Crusaders yanaonesha sifa yao ilikua ni Uchafu.

Leo hii kwa siku MTU anaoga mara kadhaa na anapiga mswaki mara kadhaa, akitoka anahakikisha manukato kidogo kajipaka huoni kwamba ni civilisation hio?
wazungu hata sasa bado ni wavivu wa kuoga
labda kutokana na hali ya hewa yao kule kwao
 
Kwanini sasa leo hii China inatawala viwanda hivyo hivyo vya magharibi?
 
Kwamba? nadhani upo shallow kwenye historia na haupo update...hebu kaulize hata AI au Chatgpt wataku-update...
 
Nawashangaa watu humu mnavo endekeza udini.

Upendo ndo nguzo ya kila kitu.

Mnavopingana na udin hii huwafanya msiwe na umoja. Na kumfanya adui yenu apate upenyo wa kuwaingia kirahs
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom