Nafkir wakt unawaza upande nn pia waza hzo changamoto unazkabili vp,,mfano kama hamna tractor na hujawah kuona huon kama ukipambna siku moja hzo nyenzo zkapatkana utakua umefankiwa??
Wanawake weng sana wanafanya hyo biashara,,ila Hao wanafanya in a formal way,,hata dem wako ukute ni mdau wa hii biashara lakn in informal way, mfanyie utafit wako..utajifunza
Naombeni kuuliza, kuwa kuna mahusiano gani Kati ya maumivu ya kiuno na kufanya tendo la ndoa?
Kwakuwa kuna mahali nlisikia mtu Kasema kiuno kinaniuma mwingine akamuambia ni ham ya tendo la ndoa kwa mwanaume lakini.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.