Recent content by Jumanne Sinto

  1. J

    Uhusiano Kati ya kiuno na tendo la ndoa

    Naombeni kuuliza, kuwa kuna mahusiano gani Kati ya maumivu ya kiuno na kufanya tendo la ndoa? Kwakuwa kuna mahali nlisikia mtu Kasema kiuno kinaniuma mwingine akamuambia ni ham ya tendo la ndoa kwa mwanaume lakini.
  2. J

    Chuo cha operator

    Ok naomba namba ya sim
  3. J

    Chuo cha operator

    Mkwajuni gharama ni shi ngap mpaka kuelewa?
  4. J

    Chuo cha operator

    Kwema wadau? Wapi kuna chuo cha kujifunza skaveta? Naomba mnisaidie.
  5. J

    Wauza mchele, weka changamoto zenu hapa tusaidiane kuzitatua

    Miundombinu ya usafir ni supportive au ndio gharama juu zizid hata hiyo 2400?
  6. J

    Wauza mchele, weka changamoto zenu hapa tusaidiane kuzitatua

    Hata magugu upo ila bei ni kubwa tuwasliane kama mahitaji yapo..na mchele wa magugu sifa yake simnaijua lakini?
  7. J

    Natafta piston ya sonalika

    Natafta piston ya sonalika thresher ya kupura mtama
  8. J

    Ujumbe wa aliyejiua kisa penzi la Monica (mke wa Masanja). Chunguzeni wake zenu

    Shida sana kwa vijana..jifunzeni kupuuzia..mtaepuka mengi sana
Back
Top Bottom