Habari za weekend wakuu! Nina almost 28yrs but still naendelea kuota meno, Doctors and Mentors huu ni ugonjwa? Tatizo nn? Au kawaida! Msaada tafadhali!
hapa tatizo sio kufa mkuu mzaramo. tatizo ni jinsi wanavyo badili the entire world kama wanavyotaka wao. upo uwezekano huyu mungu wanayetuhubiria wao sio mungu ambaye anatakiwa aabudiwe b'se they control everything nowadays.
yaani kuna mijitu brainwashed kabisa humu! cjui hawajamuelewa mtoa mada au ni ubishi tu' kwani alichoongea ni uongo mbwa wa obama ni bora,wanaakili kuliko hawa walioambiwa watupige na pm.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.