Hii ndiyo siri ya jeshi imara duniani ni lazima wanajeshi wake wawe tayari kwa vitendo kulinda amani ya nchi,na kushiriki katika misheni za amani duniani,najivunia jeshi langu jwtz kwa kazi nzuri wanayoifanya congo na kwa kujiweka tayari kwa vitendo na ujasiri wa kivita kwa ajiri ya kuilinda...
Katika hali ambayo si yakutengemea kwa wana C.C.M,hususani viongozi wa ngazi za juu za chama hicho tawala nchini wamejikuta wakiwa wamengawanyika sana katika masuala yanayohusu uchaguzi wa umoja wa vijana UVCCM,hii inatokana na waziri wa mambo ya nje na mwana C.C.M kutoka jimbo la tama...
Naomba nimulize aliyeleta thread hii kama anajua anachokiongea na wakati tulionao kwa sasa kwanza si rahisi kutokuamini kuwa wewe si mwama CCM, lakini jambo la msingi kwa sisi tunaombea ukuaji wa demokrasia nchini ni kwamba tasisi zinazobeba hatima ya demokrasia nchini ikiwemo zile za vyama vya...
Niko hapa Dodoma,nasubiria serikali ya magamba ielekee ICU,
Lakini,namuona Mh.Membe,Nasari,Magreti Sitta,Chemba,Mwakyembe,wakiongea na viongozi wa serikali za wanafunzi wa elimu ya juu.
source,mimi mwenyewe!
mshenzi mubwa wewe maisha ya watu ni zaidi ya siasa ,pia yawezekana wewe ni mkimbizi au huna akili timamu kwa hitimisho la kipuuzi kama hili,ondoa pua yako kwenye mtandao na ukakae kwenye vijiwe vya kahawa,baba yako angekuwa robo ya sitta/mwakyembe ungekuwa na akili timamu.
wewe ndo mshenzi mubwa,hizo bahasha za mafisadi zimebaka akili yako kiasi hicho,wewe wa kyela wapi,kafie huko mtumwa wa mafisadi,mumbwa mwitu we usiyefaa hata kwa ulizi wa nyumba
ARUMERU alikuwapo fisadi LOWASA na ndiyo maana wananchi wakatoa somo kuwa hataki Tanzania yenye mafisadi,mzee sitta anaipenda CDM ndiyo maana alikataa kuiba kura kama walivyopanga magamba,mzee ni msafi sana.
huyu lowasa wamshauri vizuri wanaomzunguka kuwa afanye mambo mengine suala la urais aachane nalo huyu si msafi na bado hajatubu dhambi zake kwa watanzania kwa kuiruka hatua hii itamtesa maisha yake yote.
weka pembeni ushabiki wa urais kwa EL hata kama bahasha zake zinakufikia,haya ni mambo ya imani katoliki,Lowasa hataupata urais kwa giliba hata siku moja kama anavyofanya,kwanza siku ili alitaka kucheza mchezo wa kulazimisha kupiga picha na kardinali pengo,ili muweke JFkama ishara ya kukubalika...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.