Juma Hamis
Member
- Mar 15, 2012
- 60
- 9
Katika hali ambayo si yakutengemea kwa wana C.C.M,hususani viongozi wa ngazi za juu za chama hicho tawala nchini wamejikuta wakiwa wamengawanyika sana katika masuala yanayohusu uchaguzi wa umoja wa vijana UVCCM,hii inatokana na waziri wa mambo ya nje na mwana C.C.M kutoka jimbo la tama mh.Membe,kuamua kuungana na mh.Lowasa ili kuandaa safu ya uongozi wa vijana UVCCM.
Ni ukweli usiopingika kuwa wawili hawa hapo awali walikuwa ni mhasimu wakuu wa kisiasa hususani katika kutafuta uungaji mkono ndani ya chama na kwa wananchi ili kuupata Urais baada ya JK 2015,kwa hali ya sasa wawili hawa wameungana na kuunda kambi moja itakayokuwa na ushawishi mpana ndani ya C.C.M kwa kuhakikisha kuwa wanaunda vikosi viwili hahususi vitakavyo simamia mchakato uchaguzi kuanzia ngazi ya wilaya,mikoa na taifa.Vikosi hivi ni;
i.Kikosi kinachoongozwa na H.Bashe na Fredy Lowasa-ambacho mwasisi wake akiwa mh.Lowasa
ii.Kikosi kinachoongozwa na Gottani-ambacho mwasisi wake ni mh.Membe.
Taarifa kutoka ndani ya vikosi hivi zinaonyesha kuwa kwa sasa vinafanya kazi kwa pamoja ili kuhakikisha kuwa safu ya uongozi wa UVCCM inakuwa ni ili wanayoweza kuipa maelekezo kuelekea 2015.Kwa sasa wamekamilisha mkakati wa kuhakikisha kuwa uongozi wa kitaifa wa UVCCM hususani ni mwenyekiti na makamu wenyekiti kuwa wafuatao wanashinda kwa njia zozote zile;
1.JAMARI-M/kiti.
2.ANTONY MAVUNDE-Makamu m/kiti
Na kwamba H.Bashe amezungukia umoja huo kwa madhumuni ya kuhakikisha kuwa anawaweka sawa makatibu wa UVCCM,ikumbukwe kuwa makati wa UVCCM walipokuwa Dodoma mwaka huu walikutana na BASHE Dodoma hoteli na kuwanunulia chakula,rushwa ya 50000 na kugharimia gharama zote za vyumba walivyofikia.GOTTANI naye amekuwa mstari wa mbele katika kutoa pesha kwa wagombea katika ngazi zote.Lakini pia wanaendesha kampeni kwa sasa kinyume na taratibu za uchaguzi wa UVCCM.
Lakini,pia kugawanyika kwa viongozi wakubwa wa C.C.M wamendelea kuwa na maswali yaliyokosa majibu kama vile;
1.Je?Membe alikuwa anatumiwa na Lowasa ili kufuatilia nyendo za SITTA,MWAKYEMBE na kundi lao la wapambanaji kwa ajiri ya urais 2015.
2.Je?Membe amekubali kuanza kupiga jelamba la uwaziri mkuu 2015,akiwa chini ya LOWASA kama rais wake.
3.Je?Membe na Lowasa wanategana ili kufanikisha malengo ya mmoja wao au mmoja anatumiwa vibaya na mwezake.
Katika hali kama hii UVCCM inajikuta tena kwenye vimbi lingine ambalo laweza kuhakikisha kuwa unasambalatika au unateka wa wenye fedha.UVCCM na wadau wake wote lazima wasikubali kutumiwa na kupewa rushwa na kuiacha tasisi ikivujika mchana kweupe kumbukeni kuwa uchaguzi huu ulenge kuwapata viongozi na si wala rushwa maana watashindandwa kufanya siasa zidi ya vyama vya upinzani kama vile CHADEMA.
Source,katibu wa UVCCM-MKOA
Ni ukweli usiopingika kuwa wawili hawa hapo awali walikuwa ni mhasimu wakuu wa kisiasa hususani katika kutafuta uungaji mkono ndani ya chama na kwa wananchi ili kuupata Urais baada ya JK 2015,kwa hali ya sasa wawili hawa wameungana na kuunda kambi moja itakayokuwa na ushawishi mpana ndani ya C.C.M kwa kuhakikisha kuwa wanaunda vikosi viwili hahususi vitakavyo simamia mchakato uchaguzi kuanzia ngazi ya wilaya,mikoa na taifa.Vikosi hivi ni;
i.Kikosi kinachoongozwa na H.Bashe na Fredy Lowasa-ambacho mwasisi wake akiwa mh.Lowasa
ii.Kikosi kinachoongozwa na Gottani-ambacho mwasisi wake ni mh.Membe.
Taarifa kutoka ndani ya vikosi hivi zinaonyesha kuwa kwa sasa vinafanya kazi kwa pamoja ili kuhakikisha kuwa safu ya uongozi wa UVCCM inakuwa ni ili wanayoweza kuipa maelekezo kuelekea 2015.Kwa sasa wamekamilisha mkakati wa kuhakikisha kuwa uongozi wa kitaifa wa UVCCM hususani ni mwenyekiti na makamu wenyekiti kuwa wafuatao wanashinda kwa njia zozote zile;
1.JAMARI-M/kiti.
2.ANTONY MAVUNDE-Makamu m/kiti
Na kwamba H.Bashe amezungukia umoja huo kwa madhumuni ya kuhakikisha kuwa anawaweka sawa makatibu wa UVCCM,ikumbukwe kuwa makati wa UVCCM walipokuwa Dodoma mwaka huu walikutana na BASHE Dodoma hoteli na kuwanunulia chakula,rushwa ya 50000 na kugharimia gharama zote za vyumba walivyofikia.GOTTANI naye amekuwa mstari wa mbele katika kutoa pesha kwa wagombea katika ngazi zote.Lakini pia wanaendesha kampeni kwa sasa kinyume na taratibu za uchaguzi wa UVCCM.
Lakini,pia kugawanyika kwa viongozi wakubwa wa C.C.M wamendelea kuwa na maswali yaliyokosa majibu kama vile;
1.Je?Membe alikuwa anatumiwa na Lowasa ili kufuatilia nyendo za SITTA,MWAKYEMBE na kundi lao la wapambanaji kwa ajiri ya urais 2015.
2.Je?Membe amekubali kuanza kupiga jelamba la uwaziri mkuu 2015,akiwa chini ya LOWASA kama rais wake.
3.Je?Membe na Lowasa wanategana ili kufanikisha malengo ya mmoja wao au mmoja anatumiwa vibaya na mwezake.
Katika hali kama hii UVCCM inajikuta tena kwenye vimbi lingine ambalo laweza kuhakikisha kuwa unasambalatika au unateka wa wenye fedha.UVCCM na wadau wake wote lazima wasikubali kutumiwa na kupewa rushwa na kuiacha tasisi ikivujika mchana kweupe kumbukeni kuwa uchaguzi huu ulenge kuwapata viongozi na si wala rushwa maana watashindandwa kufanya siasa zidi ya vyama vya upinzani kama vile CHADEMA.
Source,katibu wa UVCCM-MKOA