Sonara
JF-Expert Member
- Oct 2, 2008
- 726
- 68
Si mpenzi wa vyama hutowa sifa kwa chama chochote kile ,zikiwa Nzuri au mbaya alimradi ni sifa tu.nimefuatia kesi ya lema na uchaguzi halafu nikangalia na timing ya matokeo yote mawili ya kesi na uchaguzi , utagunduwa kilicho fanyika ni kusubiriwa kwa matokeo ya Uchaguzi kwanza na kama CCM wange shinda basi Lema angekuwa Mbuge hivi tunazungumza lakini kilichoonekana kushindwa kwa chama tawala ikapelekea ni lazima lema avuliwe Ubunge kwa maana hiyo jimbo la Arusha kuanzia mamuzi yale ni rasmi jimbo limerudishwa kwa Master (CCM) tukita tusitake tukipenda tusipende ukweli ndio huo ,hakuna Mbowi hakuna dr slaa wala nguvu ya Uma, lakini kuna Nguvu ya risasi za moto ndiyo inayotuliza hizo nguvu za uma , juzi hapa tulishuhudia kule mwanza jinsi Wabunge wa Chadema walivyo kiona cha mtema wa kuni ule ni mwanzo tu