Boniface Evarist
JF-Expert Member
- Nov 26, 2010
- 1,147
- 512
nimerudi.
MY TAKE:Wananchi wa kyela wawe macho!
Wajue Mwakyembe anapita,atakufa lakini KYELA yao itabaki!
Kuendekeza ushabiki wa kipumbavu juu ya MWAKYEMBE huku maendeleo yakiwa kiduchu ni kutowatendea haki watoto wao na kizazi kijach.o
Mytake yako ni kwamba Mwakyembe apewe sumu ili Kyela ipate maendeleo kama ndo hivyo nini maana ya uchaguz?
Kamwela najua wa Ileje moja kati ya wilaya duni za Mkoa wa Mby. Nashuhudia mawazo ya duni. Hatutaki