Recent content by July Ernest

  1. July Ernest

    JamiiForums Tanzania Hili jambo linawatesa watu wengi

    hahaha we mwenyewe hukuwa na kabinti kweli wenyewe wanaitaka pa kumwagia taka!!
  2. July Ernest

    JamiiForums Tanzania Hili jambo linawatesa watu wengi

    Jamani kwa wadada ambao hawajaolewa na wakaka ambao hawajaoa embu njoon tujadili kwanini hatujaoana??
  3. July Ernest

    JamiiForums Tanzania Maandamano Chamboli Zambia, waandamanaji 30 wakamatwa na vyombo vya usalama

    aise kumbe sio bongo tu hadi huko maisha magumu hadi wanahisi wamelogwa.
  4. July Ernest

    JamiiForums Tanzania Tanzania yaongoza Afrika katika kupambana na Rushwa, matumizi bora ya pesa za umma na kurudisha nidhamu Serikalini

    Tanzania hii hii ya magufuri. kilimo cha bangi kilitakiwa kipewe kipaumbele. kama wanavyosema "Tanzania ya kijani" basi pia waseme "Tanzania ya bangi" yani mashamba ya bangi yanatakiwa yawe kama mashamba ya mkonge huko tanga na mikoa mingine.
  5. July Ernest

    JamiiForums Tanzania Tanzania yaongoza Afrika katika kupambana na Rushwa, matumizi bora ya pesa za umma na kurudisha nidhamu Serikalini

    duh watanzania sijui tunakwama wapi.. hii si ndo fursa ya kuchangamkia. kuanza kulima bangi na kuisafirisha nchi jirani, nasisi baada ya miaka mitano. tutakua kwenye uvutaji wa kati.
  6. July Ernest

    JamiiForums Tanzania Marekani, Uingereza waungana kuonyesha wasiwasi wao juu ya hali ya Utoaji Haki nchini

    tz hakuna chakujijitea. kutokana na mikataba tuliyosaini ya kimataifa wana haki ya kusema, hata sisi tunaweza kuwakosoa maybe U.S armies kwa kuingilia migogoro ya nchi fulani. ni woga wetu tu so sioni kama kuna shida katika hilo.
  7. July Ernest

    JamiiForums Tanzania Marekani, Uingereza waungana kuonyesha wasiwasi wao juu ya hali ya Utoaji Haki nchini

    hivi mna note mnavyosema lakini?
  8. July Ernest

    JamiiForums Tanzania Marekani, Uingereza waungana kuonyesha wasiwasi wao juu ya hali ya Utoaji Haki nchini

    Jamani eh kumeingia watu wasiojulikana humu ndani.. msijepelekwa kusiko''''tukakusahau...
  9. July Ernest

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania It's seriously issue

    duh mbona mnabishana badala ya kunisaidia
  10. July Ernest

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania It's seriously issue

    Duh kwakweli siwezi kufanya biashara yenye hasara. kuna axkal kenya kamxomexha mtoto wakike chuo na kumpa mama yake hela ya matumizi mwisho wasiku mtoto wakike ana dgree anamwambia jamaa huna hadh ya kuwa namim tuachane kila mtu afanye mambo yake nimepata bwana mwingn ni meneja wa sheli kadhaa...
  11. July Ernest

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania It's seriously issue

    Mhhh
  12. July Ernest

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania It's seriously issue

    excuse me wakuu, Nina wakati mgumu coz huwa ninatongozwa na wasichana mpaka sasa wanne hivi kwa nyakati tofauti hao ndi nimekua nao kwenye mahusiano, ila sasa ninaowataka mimi siwapati huwa nikiwaambia ukweli wananiweka pending et tutakufikiria. na mim nikiambiwa hivyo huwa nakata tamaa...
  13. July Ernest

    JamiiForums Tanzania It's my pleasure to be here.

    oh mara moja tu sio mbaya. nimeona dawati la kujifunza kiswahili,, me nahisi Ntakalia dawati la kidhungu.
  14. July Ernest

    JamiiForums Tanzania It's my pleasure to be here.

    Ahsante
Back
Top Bottom