joto la jiwe
JF-Expert Member
- Sep 4, 2017
- 26,117
- 46,613
Shirika la Transparent International, limeitaja Tanzania kuongoza Africa katika mapambano dhidi ya rushwa, na matumizi bora ya Fedha za umma serikalini.
Hii ripoti ya 2019, imetoka kipindi ambacho rais wa nchi jirani aneamua kuendeleza matumizi yake ya hovyo kwa kukodi ndege ya kifahari ya kibinafsi badala ya kukodi ndege za KQ, kwenda Jamaica kutafuta wawekezaji wa mziki wa Reggae na KILIMO cha bhangi kuwekeza nchini mwake.
Tusishangae ndani ya miezi mitatu ijayo tukisikia nchi hiyo ikitembeza bakuli zingine kwa majina ya "Eurobond 7", ili kumuwezesha rais wao kuendelea kuzurura duniani" Aimlessly ".