It's seriously issue

It's seriously issue

Duh kwakweli siwezi kufanya biashara yenye hasara. kuna axkal kenya kamxomexha mtoto wakike chuo na kumpa mama yake hela ya matumizi mwisho wasiku mtoto wakike ana dgree anamwambia jamaa huna hadh ya kuwa namim tuachane kila mtu afanye mambo yake nimepata bwana mwingn ni meneja wa sheli kadhaa hapa nairobi. jamaa akamwita home wayaongee yaishe dame alipofika tu karamba risasi 47. yaani ni tundulisu pekee ndio angeweza kusurvive.
We nae yani wafananisha mmiliki wa sheli ama kusomesha mtu varsity na gharama ya ?pizza si buku 15?ama uko secondary na still wategemea wazazi?alichomaanisha mtoa comment ni kuwa onyesha effort kuwa uko serious na unamhitaj huyo gal.
Sema jibu lako limereflect we bado yanki uko skull hata uwezo wa kiuchumi huna so soma,uki maliza find a meaningful job na utapata gal umtakaye .btw mapenzi na pesa huwezi yatenganisha kijana usidanganyike na thread za walalahoi wanaolia kuhudumia wanawake kila leo humu mmu.
 
excuse me wakuu,
Nina wakati mgumu coz huwa ninatongozwa na wasichana mpaka sasa wanne hivi kwa nyakati tofauti hao ndi nimekua nao kwenye mahusiano, ila sasa ninaowataka mimi siwapati huwa nikiwaambia ukweli wananiweka pending et tutakufikiria. na mim nikiambiwa hivyo huwa nakata tamaa simfatilii tena. asa sielewi nakosea wapi au nikipi sijafanya ama niwapi unahisi nakosea. na hao wanaonitongoza huwa sidumu nao wananileteaga zalau na majibu ya ovyo.
Wanakutongoza.

Baadaye wanakuletea dharau.

Halafu its a seriously issue badala ya kuwa a serious issue.
 
Wanawake hawatongozwi siku hizi. Mpigie simu tuma vi text vya hapa na pale mtoe out mbili tatu mnunulie pizza mara burger wadada wanapenda kula kula. Muonyeshe unamjali... mwanaume ni effort. Baada ya mda mtajikuta mpo kwenye mahusiano.

Wanawake wana aibu sana huwezi ukamwambia "nakutaka" na yeye akakijibu "nakutaka pia"
Kiufupi wanawake wanataka SALARY.
 
Back
Top Bottom