Recent content by juliusaokello

  1. juliusaokello

    Tumefanyiana wake zetu live live ndani ya chumba kimoja

    Pombe haijawahi kumuacha mtu salama!!!! Sent from my TECNO-C8 using JamiiForums mobile app
  2. juliusaokello

    Naombeni tetesi kuhusu salary mpya

    Tulime, mashamba yako tena makubwa mnooo!!!! Achana na matumaini hewa, bado hewa inapulizwa!!!!! Sent from my TECNO-C8 using JamiiForums mobile app
  3. juliusaokello

    Sababu za Majini/Mapepo Mengi kutopatana na Nyama ya Nguruwe

    Utamu wa mdudu haijawahi kumuacha mtu salama [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]
  4. juliusaokello

    Wabunge wa Upinzani walipuka bungeni, waimba wana imani na Mkapa, Kikwete

    Una akili ndogo sana ktk upembuzu, na utabaki kuwa hvyo, haujaelewa nini hapo..... Huyu nae zuzu tu, hamna kitu
  5. juliusaokello

    Who Is Prophet Gwajima?

    Hayo majungu tu, mawazo mgando, ivi akitembelewa mbona inakuwa maneno!??? Au ulikoswa cha kupost!???
  6. juliusaokello

    Mwenyekiti wangu, Mfukuze Nape Uanachama Mara Moja

    Mbona Nape majukwani tunamsikia bado anainadi chama, labda lipi aliloliongea baya kwa mtukufu!!!! Hizi zama ni za chuma na teknolojia cyo ya mawe, nahisi bado upo zama za chuma ambapo mtukufu alikuwa hasemwi, hata ccm haina kitu kama hicho!!!
  7. juliusaokello

    Mwenyekiti wangu, Mfukuze Nape Uanachama Mara Moja

    Non sense, ukapimwe akili,
  8. juliusaokello

    Magreth Sakaya ametambuliwa na Msajili wa vyama kama Katibu Mkuu wa CUF

    Unajua ndugu huwa cpati picha, na haini ingilii akilini, ivi msajili wa vyama huwa anapewa kitu gani au alisafiri kimawazo!? Huyu huyu ajiitae profesa si alijing'atua na kujiuzulu uenyekiti kipindi cha nyuma hapo tena bila ya kushinikizwa na kudai kuwa atakuwa mwanachama wa kawaida, leo hii...
  9. juliusaokello

    Kwa kashfa hizi za kuhusishwa na biashara ya mihadarati, Freeman Mbowe jiuzulu Uenyekiti CHADEMA

    Jambo usilolijua alafu unaonekana ndiyo msemaji, unaonekana kama umepoteza nati na mtandao kichwani kwako
  10. juliusaokello

    Zitambue 'Code' mbali mbali za Watu wanao Cheat katika Mapenzi

    Ivi umelelewa vzuri wewe mtoa post!? Unaona sifa kutoka na mke wa mwanaume mwenzio!!!? Jinga sana, subiri wa kwako nae atatafunwa tena hadharani, malipo hapahapa duniani
  11. juliusaokello

    Mume kufukuzwa kazi kumenifundisha kuchepuka, sasa nimekuwa sugu

    Kweli wanaume tuna kazi, wewe mwanamke una akili kama mbayuayu, ukapimwe vzuri akili zako, unashindwa kufanya kazi za maana unabaki kuchepuka, unapata pesa unaoonaa siiiifa!!!! Hovyo kabisaaaa!!!!
  12. juliusaokello

    WALIMU: Kwa wale wanaotaka kubadilishana vituo vya kazi

    Uje Tabora, juliusaokello@gmail.com
  13. juliusaokello

    Yeyote aliyesoma certificate kisha akajiunga chuo kikuu na kupata degree ajisalimishe nitamtaja tu

    Wewe unafanya kazi wapi!???? Inaonekana umeshindwa kazi, za kufanya!!!!! [emoji41] [emoji41]
  14. juliusaokello

    Wizara ya elimu yapandisha ada ya vyuo vya ualimu serikali kuwa kama vyuo binafsi

    Mie napita tu jamani, msije mkanifata na sheria zenu!!!!!!! Ila ipo siku nitaitoa ya moyoni!!!!!
Back
Top Bottom