Recent content by julaibibi

  1. julaibibi

    JamiiForums Tanzania Ugumu wa maisha ya Marekani, wamarekani wengi weusi kwa weupe wanakimbia Marekani na wanasema hawarudi tena.

    Sasa lazim nyumba ziwe ghali sabab wanataka ufate requested plan waone maj taka yanaenda wap,maji saf sio kama afrika mmnajijengea holela.kule vitu sio holela.na kama wewe ni dini flan jiweke busy na community yako mbona hapa maryland islamic community watu wana enjoy wanafanya ibada zaobna...
  2. julaibibi

    JamiiForums Tanzania Kisa: Nilivyowahi maishani

    Yupo kule anadai mirathi ya shemej yake
  3. julaibibi

    JamiiForums Tanzania Shemeji yangu amegushi muhtasari wa ukoo wa mirathi

    Hakuna notion hio. Mali zilizotafutwa na wengine ni msemo tu unakuja kwa labda una nia ya dhuluma. Wewe,mim na kila mtu ni marehem watatajiwa kwa uwezo wa mungu. Kwa hio kama tukisema ok kila mtu atafute vyake.umekufa so asset zote zako tukazigawe mskitin au makanisan.na watoto wako wawe mitaan...
  4. julaibibi

    JamiiForums Tanzania Nigeria: Seneta Sharafadeen akosolewa vikali baada ya kumpakata na kumpapasa kijana wa chuo aliyeenda kuomba Ufadhili

    Gen z nae labda sijuinkwa kweli mungu atunusuru. Kwanza kwa nin akubali kupakatwa
  5. julaibibi

    JamiiForums Tanzania Shemeji yangu amegushi muhtasari wa ukoo wa mirathi

    Acheni dhuluma.mnataka kuwadhulumu watoto . Kwanza ni dini gani? Pili kama wewe humezei mali za marehemu mate kipengele gani unasema kimebadilishwa ilihali umeshasema mmekubaliana mali za marehem zibak kwa mke na watoto? Wewe una janja janja. Mnatumia dini gani? Ili usaidiwe hapa kiihakika hizo...
  6. julaibibi

    JamiiForums Tanzania Shemeji yangu amegushi muhtasari wa ukoo wa mirathi

    Kwanza uelewe muhtasari wa familia sio doc rasmi inayohitajika katika mashaurinya mirathi. Unaweza usiwepo
  7. julaibibi

    JamiiForums Tanzania Jussa: Rais katoka Zanzibar imekuwa nongwa, Rais alipokuwa wa kwao hawakuona Tanganyika imeuliwa

    Na ndio iliyo kweli. Zanzibar walikua na kiti umoja wa mataifa leo hakipo dogo hilo?? Tunakitaka kiti chetu UN
  8. julaibibi

    JamiiForums Tanzania Taasisi za Umma Wekeni Wataalamu Kwenye Mabanda ya Maonesho, hawa wengi Mnaotuwekea uwezo mdogo

    Hapo wanalogana anataka kila event asafiri yeye apate hio perdiem na saa nyingine waandamiz unakuta wanaona sio ishu nenda ukapate wewe hio laki 6.
  9. julaibibi

    JamiiForums Tanzania Kwa nini ukinunua ardhi TAUSI kupata hati ni kipengele?

    Mim nina swali moja. Mfumo wa Tausi wanatoa grace period ya muda mfupi sana. Hasa dodoma swal je kwa mfano umelipa ikabak hela labda mil.1 ila muda ule.ukawa umepita je ile hela ambayo umeshalipa kama mil 6 inapotea? Maana ukiingia tausi angalia kule mahomanyika malipo 50% na inayobak wanakupa...
  10. julaibibi

    JamiiForums Tanzania Mshahara wa Januari vipi mbona unachelewa?

    Ni mboga dawa nzur sana. Ila lazima uyachuje hata mara 4 maji ya moto kuondoa uchungu. Unataka hela wakat hata majukum hujapandisha
  11. julaibibi

    JamiiForums Tanzania Kisheria inawezekana kukataa kurithishwa mali za wazazi?

    Kwanza ni lazima uelewe maana ya urithi. Ni kitu chochote anachokiacha maiti kwa walio hai.sasa labda useme unajitoa hutaki ufugu wa damu unaukata.nenda kabadilishe jina Kalikane jina lako ukishalikana utatengeneza cheti kipya. Urithi hakuna anayetuma sms kwa mungu kwamba nataka fulan afe...
  12. julaibibi

    JamiiForums Tanzania Kesi ya Lissu: Shahidi wa 18 akwamisha kesi yaahirishwa hadi Agosti 17, 2026

    Yani ni hivi nikusaidie. Mahali popote kweli huwa inajibeba yenyewe. Hii ni sehemu ya aya ya 81 katika Surat Al-Isra ya Qur'ani Tukufu: "Wa qul jaa al-haqqu wa zahaqa al-batilu inna al-batila kana zahooqa". Maana yake ni: "Na sema: Ukweli umefika, na uwongo umezowolewa (umeangamia). Hakika...
  13. julaibibi

    JamiiForums Tanzania Kwani field wanachuo huwa tunaenda kufanya nini?

    Wewe huna uzoefu gen z unataka kuambiwa cha kufanya. Gen z tunao kwamza hamna adabu.asubuhi tunawachkua na staff bus hamna adabu hata kidogo.hampishi seat watu wazima na hamuamkii. Hilo la kwanza. La pili mechanical engineer veta unataka uambiwa cha kufanya. ? Wewe ni tutorial? Si uende kwenye...
  14. julaibibi

    JamiiForums Tanzania Zama za mwisho wa dunia? Mchina aja na teknolojia hii

    Nenda ukasome kisa cha gog na magog. Au yaajul na majuj. Kwaza wanasema ni watu wenye vimo sawa,waharibifu wakorofi na wamezungushiwa ukuta mrefu sana ambao wanafanya kazi ya kuutoboa kila siku ikifika jion wanapumzika.siku watayotoka ndio itakua kizaa zaa. Wanakula kila kilicho mbele yao.ukuta...
Back
Top Bottom