Recent content by julaibibi

  1. julaibibi

    Mtumishi wa Umma anayedaiwa kuwa mwadilifu anapata wapi uwezo wa kujenga Hotel ya Namna hii?

    Nasikitika sana hatuna kizazi cha wasoma vitabu.jukwaa limevamiwa na gen z. Wakongwe wamekaa pemben wanashangaa. Inaonesha wengi humu ni secondary graduate wa kuanzia 2015- kuendelea. Na vile hampend kusoma. Kipi cha ajabu kwa sosi tuliosoma wala tusiende mbali,vitabu tu vya Chinua Achebe kama...
  2. julaibibi

    Je, mwanaume wako anaweza kutembea japo 1Km, kama hawezi hapo uko na mwanamke mwenzio

    Mungu ahakunyim vyote .his buttocks may be generating strength
  3. julaibibi

    Unalipwa 500,000 TZS? Jaribu kuishi hivi!

    Kuna usem aa ngoja nitumie raha jipe mwemyewe.kwa hi mtu akikamata hio laki tanp anailia kuku supu n.k ,
  4. julaibibi

    TO wa mwaka 2006 kidato Cha sita anatrend mitandaoni baada kufariki 2020

    Huyu anataka kufanana na ustadh.watoto wote wa arts hakuna asiyemjua ustadh labda hawa gen z. Ustadh alitoa maana ya regime akatoa mfano wa nchi zenye regime mfano somalia.neno regime halitumik katika nchi zenye staha. So ukiona mtu anatumia regime ujue hajui language. Madogo walikua wanajaa...
  5. julaibibi

    TO wa mwaka 2006 kidato Cha sita anatrend mitandaoni baada kufariki 2020

    Huyu anataka kufanana na ustadh.watoto wote wa arts hakuna asiyemjua ustadh labda hawa gen z. Ustadh alitoa maana ya regime akatoa mfano wa nchi zenye regime mfano somalia.neno regime halitumik katika nchi zenye staha. So ukiona mtu anatumia regime ujue hajui language. Madogo walikua wanajaa...
  6. julaibibi

    TO wa mwaka 2006 kidato Cha sita anatrend mitandaoni baada kufariki 2020

    Ilikua balaa.enz zile necta yetu ya form 2.kupata wastan wa C jasho linakutoka. Na ilikua unarudia kweli form 2. Na kweli ilikua kupata div 1 dar ngumu madogo walikua wanachetuka vibaya club billz disco toto la mwisho saa 12 jion kipind mt blue ndio anawika so unakuta matoto ya kkko na ilala...
  7. julaibibi

    Kiuhalisia kabisa Elias Kihombo yupo overrated, anakuzwa na alijikuza mno ila alikuwa wa kawaida sana

    Hio ya kutokulala sijui kama madogo wa siki hiz hawa gen z wanajua kama mabroo tulikua balaa.namba inaitwa lunga hio.mshkaj alikua analala darasan yan yeye anaish darasan
  8. julaibibi

    Kiuhalisia kabisa Elias Kihombo yupo overrated, anakuzwa na alijikuza mno ila alikuwa wa kawaida sana

    Kuna namba moja nilipiga nayo pre form one. Edwin moshi. Ah yule jamaa alikua soo enz zile msul wangu msuli tembo.mshakaj akawa ananiambia anasomaga zile solving za yule .mzungu wa chanel 10 au CTN miaka ile jion hiv alikuaga anasolve math na chemistry
  9. julaibibi

    Mshawahi kuisikia stori ya nyumba nyeupe iliyopo njia ya Chamazi?

    We jisemeshe ni stori tu. Unawajua wakojani unawasikia? Feri pale yule jamaa anakuwaga anaongea mwenyewe mbavu hivi nasikia aliibaga injini ya boti ikapigwa tangazo aliyeiba injini arudishe kimya. Yule jamaa ana mwil ivi mbavu mbavu kama mwenyej feri utamjua anaongea kama anafoka kila upepo...
  10. julaibibi

    Walichofanya Unitree Robotics kwenye Chinese New Year Gala 2025&2026 ni mabadiliko na maendeleo makubwa ya AI lakini napata hofu

    Sasa utaepukaje ba sasa wanaya intargrate mpaka kuongea na kujua tabia za binadamu mengine yanajifanya eti hadi yanajua uchubgu na furaha
  11. julaibibi

    Aina 21 ya simu zilizopigwa marufuku nchini Kenya, kupenyezwa Tanzania ili kuepuka hasara ya wafanyabiashara?

    Bundiy ipo ya vitochi kkoo sana tu.labda kama wameleta na smartphone. Sion ji.s zitazuiwa bush ndan ndan huko
  12. julaibibi

    KERO Mabosi Serikalini bwana, mtu anakaa na file wiki 2, hivi huwa mnayafanya nini?

    Aosp; shauri. Aione kwenye jalada. FYA. mwaka mzima kuandika vimaneno vitatu
  13. julaibibi

    Video: Wakamatwa wakitengeneza 'Oil fake' za TotalEnergies

    Wenzetu wale wahindi wana hofu ya mungu ndio mana unakuta anauza original na bei inakua kubwa.sasa hio 5w30 pale mitaa ya maoil oil sijui wanapaitaje karibu na fire unaipata mpka 65000. Mfanyabiashara anakaa miaka nenda haendelei hela haikai kunbe ana ma laana ya watu
Back
Top Bottom