Nasikitika sana hatuna kizazi cha wasoma vitabu.jukwaa limevamiwa na gen z. Wakongwe wamekaa pemben wanashangaa. Inaonesha wengi humu ni secondary graduate wa kuanzia 2015- kuendelea. Na vile hampend kusoma. Kipi cha ajabu kwa sosi tuliosoma wala tusiende mbali,vitabu tu vya Chinua Achebe kama...
Huyu anataka kufanana na ustadh.watoto wote wa arts hakuna asiyemjua ustadh labda hawa gen z. Ustadh alitoa maana ya regime akatoa mfano wa nchi zenye regime mfano somalia.neno regime halitumik katika nchi zenye staha. So ukiona mtu anatumia regime ujue hajui language. Madogo walikua wanajaa...
Huyu anataka kufanana na ustadh.watoto wote wa arts hakuna asiyemjua ustadh labda hawa gen z. Ustadh alitoa maana ya regime akatoa mfano wa nchi zenye regime mfano somalia.neno regime halitumik katika nchi zenye staha. So ukiona mtu anatumia regime ujue hajui language. Madogo walikua wanajaa...
Ilikua balaa.enz zile necta yetu ya form 2.kupata wastan wa C jasho linakutoka. Na ilikua unarudia kweli form 2. Na kweli ilikua kupata div 1 dar ngumu madogo walikua wanachetuka vibaya club billz disco toto la mwisho saa 12 jion kipind mt blue ndio anawika so unakuta matoto ya kkko na ilala...
Hio ya kutokulala sijui kama madogo wa siki hiz hawa gen z wanajua kama mabroo tulikua balaa.namba inaitwa lunga hio.mshkaj alikua analala darasan yan yeye anaish darasan
Kuna namba moja nilipiga nayo pre form one. Edwin moshi. Ah yule jamaa alikua soo enz zile msul wangu msuli tembo.mshakaj akawa ananiambia anasomaga zile solving za yule .mzungu wa chanel 10 au CTN miaka ile jion hiv alikuaga anasolve math na chemistry
We jisemeshe ni stori tu. Unawajua wakojani unawasikia? Feri pale yule jamaa anakuwaga anaongea mwenyewe mbavu hivi nasikia aliibaga injini ya boti ikapigwa tangazo aliyeiba injini arudishe kimya. Yule jamaa ana mwil ivi mbavu mbavu kama mwenyej feri utamjua anaongea kama anafoka kila upepo...
Wenzetu wale wahindi wana hofu ya mungu ndio mana unakuta anauza original na bei inakua kubwa.sasa hio 5w30 pale mitaa ya maoil oil sijui wanapaitaje karibu na fire unaipata mpka 65000. Mfanyabiashara anakaa miaka nenda haendelei hela haikai kunbe ana ma laana ya watu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.