Ni kweli. Kwa mim nilitumia reality capture kutengeneza 3d image. Sasa ile prog una upload jpeg si chini ya 20000ukitaka ile hologram iwe real 3d bila kupoteza ile reality yake sasa mchina alete mashine mapafu ya mbwa zpge mzigo chips hizo
Hazikua zake tanguapo. Ni za urusi iliyokuwa USsr. Ndio mana kila designed ya bunker ujue mainjinia ni warusi. Wao wanajua kuna bunkers ngap wap ngap zinaweza kuhimili nuclear attack je ni uzito wa bomu la kias gan kuisemzua bunker ikawa tope yan kila details. Vita hvi ni long game mzee kwan...
Kwa apps nzito nzito bora mchina amekuja especially ukiwa unafanya 3d rendering ukiwa unatumia reality capture kama kamashine kako ni core i 5 unakaskia kanavovuma
Sawa ila mim manual forever hii midudr yabumeme endeleen nayo tu.kwanza vitasa hivyo eu wameanza kupiga marufuku wanasema in emergency situation unakufa hiv hv wanataka kunanzia 2027- vitasa viwe vya mikonno
Nasikitika sana hatuna kizazi cha wasoma vitabu.jukwaa limevamiwa na gen z. Wakongwe wamekaa pemben wanashangaa. Inaonesha wengi humu ni secondary graduate wa kuanzia 2015- kuendelea. Na vile hampend kusoma. Kipi cha ajabu kwa sosi tuliosoma wala tusiende mbali,vitabu tu vya Chinua Achebe kama...
Huyu anataka kufanana na ustadh.watoto wote wa arts hakuna asiyemjua ustadh labda hawa gen z. Ustadh alitoa maana ya regime akatoa mfano wa nchi zenye regime mfano somalia.neno regime halitumik katika nchi zenye staha. So ukiona mtu anatumia regime ujue hajui language. Madogo walikua wanajaa...
Huyu anataka kufanana na ustadh.watoto wote wa arts hakuna asiyemjua ustadh labda hawa gen z. Ustadh alitoa maana ya regime akatoa mfano wa nchi zenye regime mfano somalia.neno regime halitumik katika nchi zenye staha. So ukiona mtu anatumia regime ujue hajui language. Madogo walikua wanajaa...
Ilikua balaa.enz zile necta yetu ya form 2.kupata wastan wa C jasho linakutoka. Na ilikua unarudia kweli form 2. Na kweli ilikua kupata div 1 dar ngumu madogo walikua wanachetuka vibaya club billz disco toto la mwisho saa 12 jion kipind mt blue ndio anawika so unakuta matoto ya kkko na ilala...
Hio ya kutokulala sijui kama madogo wa siki hiz hawa gen z wanajua kama mabroo tulikua balaa.namba inaitwa lunga hio.mshkaj alikua analala darasan yan yeye anaish darasan
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.