Kile choo cha pale ukiwa unashuka kwenye pantoni. Ni kibovuu. Na maji wanaweka ya chumvi ya bahari.tena wanaandika kabisa kujisadia maji ya bomba 300. Nadhan shida ya kivukon nikukosa line ya maji.ila maji yapo sema kuyavuta. AZAM SEA TAX NAO VYOO WAMEVIFUNGA. SSB BOSS HAJUI HILO.ji staff wake...
Lazima warithi sehem ya baba yao. Kama nimeelewa vozur ndug yenu alifariki akaacha watoto. Je baba yenu nae alikuwa wap wakat huo.? Mnasimamiwa kwa sheria ipi ya kimila au islam? Gawen mirathi habar ya kusema mnasimamia iachen.
Siwez kuingilia mana hapa ugomv wake wa Iran cha mtoto
Nachouliza je haya ma v6 sijui kasongo yeye haya ma prado na m crusier huwa wanalala nayo majumbani full time.na jiran hapa anaenda nalo sokon na watoto wake. Yale mafuta yanakuawaga hayaishi?
WAZO LANGU MIM NI TOFAUT. HONGERA KWA MAKAO MAKUU ILA NAJIULIZA NJIA YA LAMI PALE NI MOJA TU.UKIKUNJA PALE BUIGIRI UNAICHKUA ILE YA KIKOMBO LAKIN KUNA NJIA NYINGI ZINGEPIGWA LAMI KAMA.ILE YA KUPITIA PALE IHUMWA UNAENDA KUTOKEZEA BUNGE GIRLS SEC NA ILE KUZUNGUKA SGR.HII INAWAPA USIRI NA KUWA NA...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.