Recent content by julaibibi

  1. julaibibi

    JamiiForums Tanzania RESOLVED Huduma za vyoo katika Kituo cha Mwendokasi Kivukoni zarejea baada ya kusitishwa kwa takribani mwaka mmoja

    Kile choo cha pale ukiwa unashuka kwenye pantoni. Ni kibovuu. Na maji wanaweka ya chumvi ya bahari.tena wanaandika kabisa kujisadia maji ya bomba 300. Nadhan shida ya kivukon nikukosa line ya maji.ila maji yapo sema kuyavuta. AZAM SEA TAX NAO VYOO WAMEVIFUNGA. SSB BOSS HAJUI HILO.ji staff wake...
  2. julaibibi

    JamiiForums Tanzania Zipi faida na hasara za pikipiki za umeme za kuchaji?

    Inategemea na matumiz ila naona hizi Yadea watu wanazipenda.
  3. julaibibi

    JamiiForums Tanzania Pikipiki aina ya Vonte tank 1 and 2 ni nzuri kwa matumizi ya kawaida?

    Chkua chuma hizo. Si spea wanazo wenyewe.hata mim nazinagalia za umeme
  4. julaibibi

    JamiiForums Tanzania Tabia ya kuweka akiba kila unapopata pesa ni mbaya sana

    Ishu wala sio kuweka akiba.weka katik mifumo rasmi Hiv unafikr ile mil 1 yako benk imekaa tu? Ipo kwenye mzunguko.
  5. julaibibi

    JamiiForums Tanzania Ufafanuzi juu ya haki ya mjukuu kurithi mali ya babu/bibi yake

    Lazima warithi sehem ya baba yao. Kama nimeelewa vozur ndug yenu alifariki akaacha watoto. Je baba yenu nae alikuwa wap wakat huo.? Mnasimamiwa kwa sheria ipi ya kimila au islam? Gawen mirathi habar ya kusema mnasimamia iachen.
  6. julaibibi

    JamiiForums Tanzania Aina za miundo ya umiliki wa biashara (forms of business ownership)

    Vipi kuhusu biashara za kifamilia ambazo baba anakua anajulikana yeye kama yeye kuwa msimamiz ila anafanya kaz na wanae?
  7. julaibibi

    JamiiForums Tanzania Ijue Mahakama ya Mwanzo na Sheria zinazotumika Mahakama ya Mwanzo (Primary Court)

    Ok.je kesi za madai equity ni wap zinaanzia?
  8. julaibibi

    JamiiForums Tanzania Interlocking Bricks

    Mfuko mmoja wa cement mnatoa tofal ngap
  9. julaibibi

    JamiiForums Tanzania Maisha ya Kifahari Kwenye Magari ya Umma, Huku Familia Ikisugua Benchi

    Siwez kuingilia mana hapa ugomv wake wa Iran cha mtoto Nachouliza je haya ma v6 sijui kasongo yeye haya ma prado na m crusier huwa wanalala nayo majumbani full time.na jiran hapa anaenda nalo sokon na watoto wake. Yale mafuta yanakuawaga hayaishi?
  10. julaibibi

    JamiiForums Tanzania Makao Mkuu ya Ulinzi wa Taifa, hiki ni kitu gani? Jeshi jipya? Nani Mkuu wake?

    WAZO LANGU MIM NI TOFAUT. HONGERA KWA MAKAO MAKUU ILA NAJIULIZA NJIA YA LAMI PALE NI MOJA TU.UKIKUNJA PALE BUIGIRI UNAICHKUA ILE YA KIKOMBO LAKIN KUNA NJIA NYINGI ZINGEPIGWA LAMI KAMA.ILE YA KUPITIA PALE IHUMWA UNAENDA KUTOKEZEA BUNGE GIRLS SEC NA ILE KUZUNGUKA SGR.HII INAWAPA USIRI NA KUWA NA...
  11. julaibibi

    JamiiForums Tanzania "Mwana wa Zinaa" Kiislamu HANA URITHI, Wakristo ninyi vipi, mnawapa urithi?

    Hivi hio ⅓ katika percent ni ngap?
  12. julaibibi

    JamiiForums Tanzania Sina ujasiri wa kuacha kazi

    Apply sabatical leave. Nenda kaoamgalie uraiain pakoje. Wenzako tunazeekea humo.kila ukiwaza unachanganyikiwa
  13. julaibibi

    JamiiForums Tanzania KERO Wananchi tusiokuwa na kadi za kupandia mwendokasi tumekuwa tukinyanyasika

    Mpigamiti .wilaya ya Liwale moja. Baba mpaka utoboe jichanganye upitie nangurukuru.bora ukatobolee masasi
  14. julaibibi

    JamiiForums Tanzania Sina ujasiri wa kuacha kazi

    Upo public au private?
  15. julaibibi

    JamiiForums Tanzania KERO KERO: CRDB BANK na makato hewa HEWA

    Au kimpango wako. Any way mim niliua acc toka 2021 ila naona still natumiwa sms niweke kitu.
Back
Top Bottom