Sasa lazim nyumba ziwe ghali sabab wanataka ufate requested plan waone maj taka yanaenda wap,maji saf sio kama afrika mmnajijengea holela.kule vitu sio holela.na kama wewe ni dini flan jiweke busy na community yako mbona hapa maryland islamic community watu wana enjoy wanafanya ibada zaobna...
Hakuna notion hio. Mali zilizotafutwa na wengine ni msemo tu unakuja kwa labda una nia ya dhuluma. Wewe,mim na kila mtu ni marehem watatajiwa kwa uwezo wa mungu. Kwa hio kama tukisema ok kila mtu atafute vyake.umekufa so asset zote zako tukazigawe mskitin au makanisan.na watoto wako wawe mitaan...
Acheni dhuluma.mnataka kuwadhulumu watoto . Kwanza ni dini gani? Pili kama wewe humezei mali za marehemu mate kipengele gani unasema kimebadilishwa ilihali umeshasema mmekubaliana mali za marehem zibak kwa mke na watoto? Wewe una janja janja. Mnatumia dini gani? Ili usaidiwe hapa kiihakika hizo...
Mim nina swali moja. Mfumo wa Tausi wanatoa grace period ya muda mfupi sana. Hasa dodoma swal je kwa mfano umelipa ikabak hela labda mil.1 ila muda ule.ukawa umepita je ile hela ambayo umeshalipa kama mil 6 inapotea? Maana ukiingia tausi angalia kule mahomanyika malipo 50% na inayobak wanakupa...
Kwanza ni lazima uelewe maana ya urithi. Ni kitu chochote anachokiacha maiti kwa walio hai.sasa labda useme unajitoa hutaki ufugu wa damu unaukata.nenda kabadilishe jina
Kalikane jina lako ukishalikana utatengeneza cheti kipya. Urithi hakuna anayetuma sms kwa mungu kwamba nataka fulan afe...
Yani ni hivi nikusaidie. Mahali popote kweli huwa inajibeba yenyewe.
Hii ni sehemu ya aya ya 81 katika Surat Al-Isra ya Qur'ani Tukufu: "Wa qul jaa al-haqqu wa zahaqa al-batilu inna al-batila kana zahooqa". Maana yake ni: "Na sema: Ukweli umefika, na uwongo umezowolewa (umeangamia). Hakika...
Wewe huna uzoefu gen z unataka kuambiwa cha kufanya. Gen z tunao kwamza hamna adabu.asubuhi tunawachkua na staff bus hamna adabu hata kidogo.hampishi seat watu wazima na hamuamkii. Hilo la kwanza. La pili mechanical engineer veta unataka uambiwa cha kufanya. ? Wewe ni tutorial? Si uende kwenye...
Nenda ukasome kisa cha gog na magog. Au yaajul na majuj. Kwaza wanasema ni watu wenye vimo sawa,waharibifu wakorofi na wamezungushiwa ukuta mrefu sana ambao wanafanya kazi ya kuutoboa kila siku ikifika jion wanapumzika.siku watayotoka ndio itakua kizaa zaa. Wanakula kila kilicho mbele yao.ukuta...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.