Recent content by julaibibi

  1. julaibibi

    JamiiForums Tanzania China yaingia rasmi soko la memory chip (DDR5) na gaming GPU. Samsung, SKhynix, Nvidia, Micron na AMD tumbo joto

    Ni kweli. Kwa mim nilitumia reality capture kutengeneza 3d image. Sasa ile prog una upload jpeg si chini ya 20000ukitaka ile hologram iwe real 3d bila kupoteza ile reality yake sasa mchina alete mashine mapafu ya mbwa zpge mzigo chips hizo
  2. julaibibi

    JamiiForums Tanzania Ripoti ya Jaji Chande ni hatua moja mbele, Imepooza Tu, Haijakata Kiu!. Kazi Bado Ipo!, Tunyamaze Tuu na Kusubiria, au Tuseme Kitu na Tufanye Kitu?

    And yet you have failed to read between lines. Hiv alichoandika mayala umekisoma kweli? Kaandika satarical tupu mpaka utukie ndio ujue alichoandika
  3. julaibibi

    JamiiForums Tanzania Urusi yaanza mazoezi ya kutumia silaha za Nyuklia

    Hazikua zake tanguapo. Ni za urusi iliyokuwa USsr. Ndio mana kila designed ya bunker ujue mainjinia ni warusi. Wao wanajua kuna bunkers ngap wap ngap zinaweza kuhimili nuclear attack je ni uzito wa bomu la kias gan kuisemzua bunker ikawa tope yan kila details. Vita hvi ni long game mzee kwan...
  4. julaibibi

    JamiiForums Tanzania China yaingia rasmi soko la memory chip (DDR5) na gaming GPU. Samsung, SKhynix, Nvidia, Micron na AMD tumbo joto

    Kwa apps nzito nzito bora mchina amekuja especially ukiwa unafanya 3d rendering ukiwa unatumia reality capture kama kamashine kako ni core i 5 unakaskia kanavovuma
  5. julaibibi

    JamiiForums Tanzania UWEKEZAJI KATIKA HISA LEO 4/5/2026

    You can enjoy hisa ila mikopo yao imekaa ki kabaila sana kwa watu wa hal ya chin
  6. julaibibi

    JamiiForums Tanzania Rais Samia akutana na Dangote leo Mei 16, 2026

    Namuona mwanang teri hapo kawa bonge la mtu
  7. julaibibi

    JamiiForums Tanzania Pesa inaweza kuja kwenye maisha yako bila kutarajia

    .
  8. julaibibi

    JamiiForums Tanzania Hizo Range Rover unazopishana nazo Vitasa vyake vimeingia kwa ndani, used tu Bila Mil 400 hujamiliki!

    Sawa ila mim manual forever hii midudr yabumeme endeleen nayo tu.kwanza vitasa hivyo eu wameanza kupiga marufuku wanasema in emergency situation unakufa hiv hv wanataka kunanzia 2027- vitasa viwe vya mikonno
  9. julaibibi

    JamiiForums Tanzania Mtumishi wa Umma anayedaiwa kuwa mwadilifu anapata wapi uwezo wa kujenga Hotel ya Namna hii?

    Nasikitika sana hatuna kizazi cha wasoma vitabu.jukwaa limevamiwa na gen z. Wakongwe wamekaa pemben wanashangaa. Inaonesha wengi humu ni secondary graduate wa kuanzia 2015- kuendelea. Na vile hampend kusoma. Kipi cha ajabu kwa sosi tuliosoma wala tusiende mbali,vitabu tu vya Chinua Achebe kama...
  10. julaibibi

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Je, mwanaume wako anaweza kutembea japo 1Km, kama hawezi hapo uko na mwanamke mwenzio

    Mungu ahakunyim vyote .his buttocks may be generating strength
  11. julaibibi

    JamiiForums Tanzania Unalipwa 500,000 TZS? Jaribu kuishi hivi!

    Kuna usem aa ngoja nitumie raha jipe mwemyewe.kwa hi mtu akikamata hio laki tanp anailia kuku supu n.k ,
  12. julaibibi

    JamiiForums Tanzania TO wa mwaka 2006 kidato Cha sita anatrend mitandaoni baada kufariki 2020

    Huyu anataka kufanana na ustadh.watoto wote wa arts hakuna asiyemjua ustadh labda hawa gen z. Ustadh alitoa maana ya regime akatoa mfano wa nchi zenye regime mfano somalia.neno regime halitumik katika nchi zenye staha. So ukiona mtu anatumia regime ujue hajui language. Madogo walikua wanajaa...
  13. julaibibi

    JamiiForums Tanzania TO wa mwaka 2006 kidato Cha sita anatrend mitandaoni baada kufariki 2020

    Huyu anataka kufanana na ustadh.watoto wote wa arts hakuna asiyemjua ustadh labda hawa gen z. Ustadh alitoa maana ya regime akatoa mfano wa nchi zenye regime mfano somalia.neno regime halitumik katika nchi zenye staha. So ukiona mtu anatumia regime ujue hajui language. Madogo walikua wanajaa...
  14. julaibibi

    JamiiForums Tanzania TO wa mwaka 2006 kidato Cha sita anatrend mitandaoni baada kufariki 2020

    Ilikua balaa.enz zile necta yetu ya form 2.kupata wastan wa C jasho linakutoka. Na ilikua unarudia kweli form 2. Na kweli ilikua kupata div 1 dar ngumu madogo walikua wanachetuka vibaya club billz disco toto la mwisho saa 12 jion kipind mt blue ndio anawika so unakuta matoto ya kkko na ilala...
  15. julaibibi

    JamiiForums Tanzania Kiuhalisia kabisa Elias Kihombo yupo overrated, anakuzwa na alijikuza mno ila alikuwa wa kawaida sana

    Hio ya kutokulala sijui kama madogo wa siki hiz hawa gen z wanajua kama mabroo tulikua balaa.namba inaitwa lunga hio.mshkaj alikua analala darasan yan yeye anaish darasan
Back
Top Bottom