Habari Wadau.
Naomba kujua kama kuna mdau yeyote aliyekata rufaa kuhusu yale matokeo ya usaili wakuandika wa TRA Kama kaitwa kupatiwa ufumbuzi au kajibiwa kwenye email yake?
Najiuliza maswali mengi sana kuhusu hii screenshot kama kweli huu ndio mtihani wenyewe:-
1-Kama huu ndio mtihani wenyewe alipata wapi kifaa chakupiga picha huu mtihani akiwa ndani ya chumba cha mtihani??
2-Aliupiga picha huu mtihani akiwa ndani au inje ya chumba cha mtihani??
3-Ulinzi uko...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.