Chongeni
Member
- Jun 16, 2020
- 27
- 78
- Thread starter
- #41
Yes wamefanyiwa Fair kabisa kiongozi, sasa unawekaje evidence ya qualification ambayo umeiweka kwenye CV yako, usiweke educational qualification ambayo bado cheti chake huna, unawekaje una CPA Wakati bado huna cheti cha CPA.Je waliorudishwa kwa kukosa vyeti vya bodi, nao walifanyiwa fair?
NB
Wameitwa kwenye usaili, na kutakiwa kwenda na docs, ambapo cheti cha bodi hakikutajwa kwenye barua&tangazo.
Kwa Position ya Accountant pia walitaka kwa Mtu kwenye Degree Plus CPA/ACCA, ukikosa evidence ya degree/CPA lazima uzuiwe.