Dada furaha ya kweli iko kwa Yesu tuu,, mtafute Mungu kwanza akupe suluhisho la maisha yako,,, na utatamani kufa tuu kama hutokubali hayo maisha yako na kuanza kuyabadilisha,, una kazi inayokufanya uishi then you disappoint youself, calm down darling life is so sweeet, na itakuwa umechoka pilau...