Tundu Lissu ambana RPC mahakamani, RPC ashikwa kigugumizi (Shein na Seif) nao wahitajika mahakamani

Mbona hayo maswali ni ya kitoto kabisa na hayamuondoi kwenye shtaka .Ni maoni yangu kuwa substance ya hayo mahojiano na majibu mafupi yaliyokuwa yanatolewa na R.P.C yanaendelea kumuweka LISSU kwenye hali mbaya katika shauri hili kwani naona maelezo na maswali yake ni " INCULPATORY" ndio maana kazi ya RPC ilikuwa rahisi sana kuitikia ndio.....ni kweli.....
 
Mlalamikaji ambaye kimsingi ndiye aliyefungua kesi anakana
mamlaka ya kufungua kesi kuwa si yake?
Aisee ina maana hata hiyo alifungua pasina kuelewa?
Kwa mwenendo huo hamtaacha kuaibika kila siku.
 
HABARI
pic+lissu+ambana+RPC.jpg

Kamanda wa Polisi Mkoa wa Ilala, Salum Hamdani

  • Lissu alimuuliza swali hilo Kamanda Hamdani aliyekuwa akitoa ushahidi jana kwenye kesi ya tuhuma za uchochezi mbele ya Hakimu Mkazi Mkuu, Thomas Simba katika Mahakama ya Kisutu.

Dar es Salaam. Mbunge wa Singida Mashariki (Chadema), Tundu Lissu amemhoji Kamanda wa Polisi Mkoa wa Ilala, Salum Hamdani sababu za kutoshtakiwa Katibu Mkuu wa CUF, Maalim Seif, Rais Ali Mohamed Shein na Hassan Nassor Moyo waliotajwa kwenye makala inayodaiwa ya uchochezi.

Lissu alimuuliza swali hilo Kamanda Hamdani aliyekuwa akitoa ushahidi jana kwenye kesi ya tuhuma za uchochezi mbele ya Hakimu Mkazi Mkuu, Thomas Simba katika Mahakama ya Kisutu.

Kamanda Hamdani aliyekuwa akiongozwa kutoa ushahidi na Wakili wa Serikali, Paul Kadushi alikumbana na swali hilo ulipofika wakati wa maswali ya kuhoji kutoka upande wa utetezi.

Lissu alitilia mkazo swali hilo kwa maelezo kwamba Kamanda Hamdani ndiye mlalamikaji na kiini cha kesi hiyo. Washtakiwa wengine ni, Jabir Idrissa na Simon Mkina ambao kwa pamoja wanadaiwa kuandika na kuchapisha taarifa‎ za uchochezi zenye kichwa cha habari kisemacho, ‘Machafuko yaja Zanzibar’.

Akijibu swali hilo la Lissu, Kamanda Hamdani alisema Rais Shein, Maalim Seif na Moyo hawajashtakiwa katika shauri hilo na kwamba yeye hana jukumu la kuwafungulia mashtaka.

Lissu aliendelea kumuuliza shahidi huyo wa upande wa mashtaka kwamba katika maelezo yake (Kamanda Hamdani) ya polisi aliwataja Katibu Mkuu wa CUF, Seif Sharif Hamad, Rais Dk Ali Mohamed Shein na Mwanasiasa Mkongwe, Hassan Nassor Moyo na kusema maneno yao hayakuwa ya uchochezi.

Hata hivyo, Kamanda Hamdani alijibu swali hilo kwa kusema kuwa hakuwataja.

Lissu alimuonyesha shahidi huyo gazeti la Mawio la Januari 14, 2016 na kumtaka amweleze Hakimu Simba idadi ya aya za makala inayodaiwa kuwa ya uchochezi iliyokuwa na kichwa cha habari cha ‘Machafuko yaja Zanzibar’.

Baada ya kuulizwa swali hilo, Kamanda Hamdani alimueleza Lissu kuwa hawezi kuzihesabu, lakini mahakama ilitoa maelekezo azihesabu, akaomba muda akapewa, akazihesabu kuwa zipo nane.

Lissu alidai kuwa yeye amezisoma zipo 55 na kwamba aya 37 ni za maneno ya Maalim Seif, aya nane ni za maneno ya Tundu Lissu, aya nne ni za maneno ya Moyo na kwamba kwenye aya tatu, ametajwa Rais wa Zanzibar, Dk Ali Mohamed Shein na Kamanda Hamdani alidai kuwa ni sawa.

Aliendelea kumhoji shahidi huyo wa upande wa mashtaka kwamba:

Lissu: Kwa uelewa wa akili yako anayetajwa mara nyingi kwenye makala hiyo inayodaiwa kuwa ni ya uchochezi ni nani?

Kamanda Hamdani: Maalim Seif.

Lissu: Wakati unaisoma makala hiyo ulibaini kuwapo kwa matamshi ya chuki na uchochezi dhidi ya Serikali ni kweli ama si kweli?

Kamanda Hamdani: Ni kweli.

Lissu: Kwa uelewa wako mtu anayetoa matamshi yenye kuibua hamasa au chuki dhidi ya Serikali ni lazima uwe uchochezi?

Kamanda Hamdani: Kwa uelewa wangu ni lazima uwe uchochezi.

Lissu: Alimuonesha shahidi huyo hati ya mashtaka na ya maelezo ya awali (PH) na kuuliza ni sawa nikisema makala nzima ya ‘Machafuko yaja Zanzibar’ ilikuwa ni makala ya uchochezi?

Kamanda Hamdani: Ni kweli.

Lissu kama makala yote ni ya kichochezi wote walioshiriki ni wachochezi?

Kamanda Hamdani: Ni sahihi.

Lissu: Ni kwa nini Katibu Mkuu wa CUF, Seif Sharif Hamad, Rais Dk Ali Mohamed Shein na mwanasiasa mkongwe, Hassan Nassor Moyo hawajashtakiwa, kwa nini Tundu Lissu pekee ameshtakiwa?

Kamanda Hamdani: Jukumu hilo siyo la kwangu, mimi ni mlalamikaji.

Lissu: Kwenye lengo lako mbaya wako alikuwa ni Tundu Lissu?

Kamanda Hamdani: Hapana sina ubaya na Lissu.

Kesi hiyo imeahirishwa hadi Aprili 3, itakapoendelea kusikilizwa.
 
SEDITIOUS STATEMENTS.... sidhani kama serikali na mawakili wake wanasoma kabla ya kuleta kesi za sedition mahakamani. Angalia penye red chini!
A Short Summary of the Law of Sedition in India
By Lawrence Liang on 13/02/20169 Comments
Share this:
News reports are indicating that an FIR has been registered with respect to a public meeting organised on the Jawaharlal Nehru University (JNU) campus on the evening of 9th February. These reports claim that the meeting was about the hanging of Afzal Guru, and it is alleged that during its course, some people raised incendiary slogans. According to reports, the FIR has been registered under Section 124A of the Indian Penal Code (sedition), and the Police have already arrested one person.

It is important to note that under the Indian law of sedition, the events at the public meeting, even if completely true, do not even come close to establishing an offence. In Kedar Nath Singh’s Case, 5 judges of the Supreme Court – a Constitution bench – made it clear that allegedly seditious speech and expression may be punished only if the speech is an ‘incitement’ to ‘violence’, or ‘public disorder’. Subsequent cases have further clarified the meaning of this phrase. In Indra Das v. State of Assam and Arup Bhuyan v. State of Assam, the Supreme Court unambiguously stated that only speech that amounts to “incitement to imminent lawless action” can be criminalised. In Shreya Singhal v. Union of India, the famous 66A judgment, the Supreme Court drew a clear distinction between “advocacy” and “incitement”, stating that only the latter could be punished.

Therefore, advocating revolution, or advocating even violent overthrow of the State, does not amount to sedition, unless there is incitement to violence, and more importantly, the incitement is to ‘imminent’ violence. For instance, in Balwant Singh v. State of Punjab, the Supreme Court overturned the convictions for ‘sedition’, (124A, IPC) and ‘promoting enmity between different groups on grounds of religion, race etc.’, (153A, IPC), and acquitted persons who had shouted – “Khalistan zindabaad, Raj Karega Khalsa,” and, “Hinduan Nun Punjab Chon Kadh Ke Chhadange, Hun Mauka Aya Hai Raj Kayam Karan Da”, late evening on 31 October 1984, i.e. a few hours after Indira Gandhi’s assassination – outside a cinema in a market frequented by Hindus and Sikhs in Chandigarh.

Thus, words and speech can be criminalised and punished only in situations where it is being used to incite mobs or crowds to violent action. Mere words and phrases by themselves, no matter how distasteful, do not amount to a criminal offence unless this condition is met.

Mkuu wanao huo muda? Wao wakisikia Lisu tu hamu yangu ni kufungua kesi.
 
Ultimately gymnastics za Tundu zitafika mwisho.Anadhani ana akili kupita watu wote ! Ndege mjanja hunasa kwenye tundu bovu, wahenga walisema !
Hapa unaonekana una fihi na Lisu kinachozingatiwa hapo ni hoja zenye mashiko sio mtu kujifanya mjanja, bila hoja zenye mashiko hakuna ujanja.Mkubali jamaa kwamba fani yake anaimudu.
 
SEDITIOUS STATEMENTS.... sidhani kama serikali na mawakili wake wanasoma kabla ya kuleta kesi za sedition mahakamani. Angalia penye red chini!
A Short Summary of the Law of Sedition in India
By Lawrence Liang on 13/02/20169 Comments
Share this:
News reports are indicating that an FIR has been registered with respect to a public meeting organised on the Jawaharlal Nehru University (JNU) campus on the evening of 9th February. These reports claim that the meeting was about the hanging of Afzal Guru, and it is alleged that during its course, some people raised incendiary slogans. According to reports, the FIR has been registered under Section 124A of the Indian Penal Code (sedition), and the Police have already arrested one person.

It is important to note that under the Indian law of sedition, the events at the public meeting, even if completely true, do not even come close to establishing an offence. In Kedar Nath Singh’s Case, 5 judges of the Supreme Court – a Constitution bench – made it clear that allegedly seditious speech and expression may be punished only if the speech is an ‘incitement’ to ‘violence’, or ‘public disorder’. Subsequent cases have further clarified the meaning of this phrase. In Indra Das v. State of Assam and Arup Bhuyan v. State of Assam, the Supreme Court unambiguously stated that only speech that amounts to “incitement to imminent lawless action” can be criminalised. In Shreya Singhal v. Union of India, the famous 66A judgment, the Supreme Court drew a clear distinction between “advocacy” and “incitement”, stating that only the latter could be punished.

Therefore, advocating revolution, or advocating even violent overthrow of the State, does not amount to sedition, unless there is incitement to violence, and more importantly, the incitement is to ‘imminent’ violence. For instance, in Balwant Singh v. State of Punjab, the Supreme Court overturned the convictions for ‘sedition’, (124A, IPC) and ‘promoting enmity between different groups on grounds of religion, race etc.’, (153A, IPC), and acquitted persons who had shouted – “Khalistan zindabaad, Raj Karega Khalsa,” and, “Hinduan Nun Punjab Chon Kadh Ke Chhadange, Hun Mauka Aya Hai Raj Kayam Karan Da”, late evening on 31 October 1984, i.e. a few hours after Indira Gandhi’s assassination – outside a cinema in a market frequented by Hindus and Sikhs in Chandigarh.

Thus, words and speech can be criminalised and punished only in situations where it is being used to incite mobs or crowds to violent action. Mere words and phrases by themselves, no matter how distasteful, do not amount to a criminal offence unless this condition is met.
Asante kwa citation. Kesi imeisha hiyo. watafute kesi nyingine.
 
Ultimately gymnastics za Tundu zitafika mwisho.Anadhani ana akili kupita watu wote ! Ndege mjanja hunasa kwenye tundu bovu, wahenga walisema !
Kisokorokwinyo hicho. Utakuwa wewe ndiyo mlalamikaji, umekaa na kufanya review ukaona umewezwa kweli. Nafasi iliyokuwepo imepita na kibaya hata tarehe 03/ 04 hujui utaulizwa nini, au yeyote atakayefika pale hajui swali. Makamishina itakuwa darasa kwao, siku nyingine wawe makini maana CP kudhalilika kortini siyo jambo jema.
 
Dah nimecheka sana sheria nimeamini ni taaluma ya tofauti sana haina kutumika aisee... Ai wishi i kudu be a Loya(Lawyer)
 
nipo kwny gari natoka iringa kwenda dom,.nimecheka kwa nguvu mpaka basi zima wamegeuka,yaan mpaka nimeona aibu maana wanaangalia movie ya wanyama hivyo wanadhan nimefurahia kumbe mi npo kwa JF
Na hizo ndio akili za watanzania walio wengi; badala ya kujifunza vitu vya maana kama hivi wao, tena watu wazima, kazi kuangalia vitu vya ajabu ajabu kama hizi movie za faru wakipandana! Hongera Kiongozi.
 
Na hizo ndio akili za watanzania walio wengi; badala ya kujifunza vitu vya maana kama hivi wao, tena watu wazima, kazi kuangalia vitu vya ajabu ajabu kama hizi movie za faru wakipandana! Hongera Kiongozi.
Asante mkuu wangu
 
HABARI
pic+lissu+ambana+RPC.jpg

Kamanda wa Polisi Mkoa wa Ilala, Salum Hamdani

  • Lissu alimuuliza swali hilo Kamanda Hamdani aliyekuwa akitoa ushahidi jana kwenye kesi ya tuhuma za uchochezi mbele ya Hakimu Mkazi Mkuu, Thomas Simba katika Mahakama ya Kisutu.

Dar es Salaam. Mbunge wa Singida Mashariki (Chadema), Tundu Lissu amemhoji Kamanda wa Polisi Mkoa wa Ilala, Salum Hamdani sababu za kutoshtakiwa Katibu Mkuu wa CUF, Maalim Seif, Rais Ali Mohamed Shein na Hassan Nassor Moyo waliotajwa kwenye makala inayodaiwa ya uchochezi.

Lissu alimuuliza swali hilo Kamanda Hamdani aliyekuwa akitoa ushahidi jana kwenye kesi ya tuhuma za uchochezi mbele ya Hakimu Mkazi Mkuu, Thomas Simba katika Mahakama ya Kisutu.

Kamanda Hamdani aliyekuwa akiongozwa kutoa ushahidi na Wakili wa Serikali, Paul Kadushi alikumbana na swali hilo ulipofika wakati wa maswali ya kuhoji kutoka upande wa utetezi.

Lissu alitilia mkazo swali hilo kwa maelezo kwamba Kamanda Hamdani ndiye mlalamikaji na kiini cha kesi hiyo. Washtakiwa wengine ni, Jabir Idrissa na Simon Mkina ambao kwa pamoja wanadaiwa kuandika na kuchapisha taarifa‎ za uchochezi zenye kichwa cha habari kisemacho, ‘Machafuko yaja Zanzibar’.

Akijibu swali hilo la Lissu, Kamanda Hamdani alisema Rais Shein, Maalim Seif na Moyo hawajashtakiwa katika shauri hilo na kwamba yeye hana jukumu la kuwafungulia mashtaka.

Lissu aliendelea kumuuliza shahidi huyo wa upande wa mashtaka kwamba katika maelezo yake (Kamanda Hamdani) ya polisi aliwataja Katibu Mkuu wa CUF, Seif Sharif Hamad, Rais Dk Ali Mohamed Shein na Mwanasiasa Mkongwe, Hassan Nassor Moyo na kusema maneno yao hayakuwa ya uchochezi.

Hata hivyo, Kamanda Hamdani alijibu swali hilo kwa kusema kuwa hakuwataja.

Lissu alimuonyesha shahidi huyo gazeti la Mawio la Januari 14, 2016 na kumtaka amweleze Hakimu Simba idadi ya aya za makala inayodaiwa kuwa ya uchochezi iliyokuwa na kichwa cha habari cha ‘Machafuko yaja Zanzibar’.

Baada ya kuulizwa swali hilo, Kamanda Hamdani alimueleza Lissu kuwa hawezi kuzihesabu, lakini mahakama ilitoa maelekezo azihesabu, akaomba muda akapewa, akazihesabu kuwa zipo nane.

Lissu alidai kuwa yeye amezisoma zipo 55 na kwamba aya 37 ni za maneno ya Maalim Seif, aya nane ni za maneno ya Tundu Lissu, aya nne ni za maneno ya Moyo na kwamba kwenye aya tatu, ametajwa Rais wa Zanzibar, Dk Ali Mohamed Shein na Kamanda Hamdani alidai kuwa ni sawa.

Aliendelea kumhoji shahidi huyo wa upande wa mashtaka kwamba:

Lissu: Kwa uelewa wa akili yako anayetajwa mara nyingi kwenye makala hiyo inayodaiwa kuwa ni ya uchochezi ni nani?

Kamanda Hamdani: Maalim Seif.

Lissu: Wakati unaisoma makala hiyo ulibaini kuwapo kwa matamshi ya chuki na uchochezi dhidi ya Serikali ni kweli ama si kweli?

Kamanda Hamdani: Ni kweli.

Lissu: Kwa uelewa wako mtu anayetoa matamshi yenye kuibua hamasa au chuki dhidi ya Serikali ni lazima uwe uchochezi?

Kamanda Hamdani: Kwa uelewa wangu ni lazima uwe uchochezi.

Lissu: Alimuonesha shahidi huyo hati ya mashtaka na ya maelezo ya awali (PH) na kuuliza ni sawa nikisema makala nzima ya ‘Machafuko yaja Zanzibar’ ilikuwa ni makala ya uchochezi?

Kamanda Hamdani: Ni kweli.

Lissu kama makala yote ni ya kichochezi wote walioshiriki ni wachochezi?

Kamanda Hamdani: Ni sahihi.

Lissu: Ni kwa nini Katibu Mkuu wa CUF, Seif Sharif Hamad, Rais Dk Ali Mohamed Shein na mwanasiasa mkongwe, Hassan Nassor Moyo hawajashtakiwa, kwa nini Tundu Lissu pekee ameshtakiwa?

Kamanda Hamdani: Jukumu hilo siyo la kwangu, mimi ni mlalamikaji.

Lissu: Kwenye lengo lako mbaya wako alikuwa ni Tundu Lissu?

Kamanda Hamdani: Hapana sina ubaya na Lissu.

Kesi hiyo imeahirishwa hadi Aprili 3, itakapoendelea kusikilizwa.
Ni aibu sanaaa!!! Jeshi la Polisi inabidi mjiongeze kwenye hizi ushu za kisheria na mahakama. Wakati mwingine mkatae kushiriki kesi ambazo hamjajipanga vizuri, maana kwa mwenye uelewa wa mambo ya kesi mpaka hapa tu ashajua mwelekeo wa kesi.
 
Ni aibu sanaaa!!! Jeshi la Polisi inabidi mjiongeze kwenye hizi ushu za kisheria na mahakama. Wakati mwingine mkatae kushiriki kesi ambazo hamjajipanga vizuri, maana kwa mwenye uelewa wa mambo ya kesi mpaka hapa tu ashajua mwelekeo wa kesi.
Wanataka vyeo
 
Back
Top Bottom