avogadro
JF-Expert Member
- Apr 30, 2013
- 7,324
- 12,734
Mbona hayo maswali ni ya kitoto kabisa na hayamuondoi kwenye shtaka .Ni maoni yangu kuwa substance ya hayo mahojiano na majibu mafupi yaliyokuwa yanatolewa na R.P.C yanaendelea kumuweka LISSU kwenye hali mbaya katika shauri hili kwani naona maelezo na maswali yake ni " INCULPATORY" ndio maana kazi ya RPC ilikuwa rahisi sana kuitikia ndio.....ni kweli.....