Kamanda Sirro: Bado tunamshikilia Vanessa Mdee

Kamanda Sirro: Bado tunamshikilia Vanessa Mdee

Vanessa atakoma mwaka huu atajuta kujiita cash madame.Atabaelezea polithi hizo hela anazitoa wapi?
 
Ww muuza ngada vepe..kelele miiingi kama unawasiwasi karipoti police lifunguliwe jalada la uchunguzi
bashite amekimbia nini tz. sirro atakuwa anapumua sasa maana Bashite mgushi vyeti misifuri akikuwa anampelekesha kweli
 
Ikithibika kweli pasipo shaka yoyote , ashughulikiwe kikamilifu. Wote wanaouza madawa ya kulevya wakithibitika washughulikiwe bila huruma japo niko against kutajataja watu hovyo kwenye media bila kuwa na uhakika.
Sirro naye Bashite taipu
 
Huu ni uonevu dhahiri, nani asiyejua kuwa kidoti wa msoga ni mhusika, mbona hakamatwi?
 
Kumkamata Vanessa na Kumuacha Jux ni Ujuha,Mdee atakuwa anasambaza Mzigo wa JUX.....Halafu JUX wanwake wake wote ni wauza NGADA(Jack Patrick yupo Jela Macao).
 
Tetesi:Vanesa mdee bado yupo sero na kesho jumatatu asubuhi saa tatu anapandishwa kizimbani kwa mashtaka mawili.
Moja kukutwa na ngada na pili kusambaza ngada.

Pia imeelezwa tangu akamatwe siku ya jumatano hajaoga na alikuwa kwenye siku zake.

Watu wa haki za binadamu ingilieni kati huyu binti
 
cash madamee...mziki tu ndo wakukufanya uwe na mihela hivo vee??
binti wazaz wako wamekusomesha kwa gharama marekani umerud bongo na usomi wako umeshindwa kuutumia vema unaamua kuwa punda?
umetaka utajiri wa haraka haya hayo ndo matokeo.
Kwa ujinga huu sijui tutafika kweli wapi imethibitishwa kuwa huyu dada ni msambazaji au mtumia ngada? Mbona unakuja na conclusion kuwa amesomeshwa ng'ambo na kashindwa kutumia elimu yake na kujiingiza kwenye madawa, do you have any evidence?

Nyie ndio mkipewa nyadhfa hamjui kufuata taratibu za kazi.
 
Back
Top Bottom