kilalile
JF-Expert Member
- Jun 4, 2012
- 1,594
- 2,207
Hahahaaah kiongozi hizo ni professional za watu kabisa.🙂🙂🙂🙂🙂🙂 very interesting wakuchague uwe msemaji waserikali mkuu.
Hahahaaah kiongozi hizo ni professional za watu kabisa.🙂🙂🙂🙂🙂🙂 very interesting wakuchague uwe msemaji waserikali mkuu.
Naam, kwenye pesa tuko pamoja ila kwenye dhiki tunatenganaHapo ingekuwa wanatafutwa ndugu wa marehemu ili wakabidhiwe pesa za kumtunza mzee basi pasingetosha ila kwa sababu ni msiba watu wamepiga kimya.
Anyway ndivyo binadamu tulivyo
Hmm!...Naam, kwenye pesa tuko pamoja ila kwenye dhiki tunatengana
Nalo hili ni neno.Ni jambo la aibu sana na si la Kistaarabu hasa kwa Watanzania ambapo Mtu unajua kabisa kuwa Ndugu yako amefariki dunia halafu mnatafutwa mnanyamaza. Na usikute hao hao ambao wamenyamaza Mzee ndiyo alitumia Pesa zake zote za Kiinua mgongo kuwasomesha hadi wengi wao leo hii wamefanikiwa Kimaisha. Waafrika sijui nani alituroga hakyanani!
Ni mara ngapi hao wa ughaibuni maiti zao zinachomwa kwa kukosa ndugu na fedha za kumsafirisha?
Hah ha ha... Nipe Pepsi Cola Mkuu.Musa Allan unatumia kinywaji gani ndugu yangu uanze kunywa bili kwangu? safi sana umejibu vema na nukuu nzuri, nimefurahi ulivyojibu sijui kwanini tu
tehe tehe kunywa DOUBLE COLA bwanaaa!!! ni nzuriHah ha ha... Nipe Pepsi Cola Mkuu.