Kuna jamaa ilimtokea issue kama yako, akamwacha mzazi mwenzie ambaye ni + akaenda kuoa binti mwingine na walicheki afya zaidi ya mara 2 kabla ya ndoa. Sasa hivi wote ni + kwani mkewe alikumbushia na ex wake bila kujua kuwa kaungua. jamaa anaomba kurudiana na mzazi mwenzie ili waishi kwa...
Nina kaka yangu na mke wake wana issue kama yenu kwa miaka zaidi ya sita, wanafuata masharti na wana watoto 2 wasio na maambukizi, kikubwa aanze dawa mapema na kuhusu ndugu zake asiwaambie so long as wewe unajua... ndugu wengi kibongo bongo wana chembechembe za unyanyapaa.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.