Mikakati toka kwa Kitime.
Kwanza nawatakieni tena wote heri ya Mwaka mpya 2015, hata wale walioanza Mwaka kwa ‘kuwekwa kiporo', waliofukuzwa kazi na, waliogawana ule mkwanja, waliokosa ule mkwanja, wanaolalamika kwa kuwa walikosa ule mkwanja, wanaolalamika kwa kuwa wanaona Wananchi...