Matumizi Bora ya Simu kwa wenye Michepuko

Matumizi Bora ya Simu kwa wenye Michepuko

Mkuu nimekukubali.Bila shaka weye ndiye kamanda wa wachepukaji na bila shaka utakuwa una PhD ya kuchepuka!.Wapuuze sana waliokuponda/watakaokuponda kwa ushauri wako maana waTZ wamezoea kuambiwa uongo.Wakiambiwa ukweli wanakasirika. Big up kamanda wangu endelea kutujuza maujanja ya kuishi na michepuko bila kusababisha zali home!
 
Hahahaaaaa nimechekaaa eti huo mchepuko umpe semina warsha na kongamano. Back to the point...... Hivi kwa nini watu huwa wanajisahau michepukoni kiasi hiki??? Kwa nini uruhusu mchepuko ukupigie simu ovyo ovyo?? Mnatakiwa mpigiane simu kunapokuwa na ulazima wa kufanya hivyo..... Na wewe mtu umeshajijua we ni mchepuko simu za mara kwa mara na meseji za kipuuzi kila wakati za nini??? Kuweni na kaustaarabu japo kidogo... Mungu hamna bas huyo shetani wenu hata hekima hana??

Michepuko inapagawisha sana ndiyo maana watu wanajisahau. Onja mchepuko uone siri ya urembo!
 
We jidanganye tu, kuwa na mchepuko ni utumwa tuu coz inabidi uunyenyekee sana maana hata kama mmepeana mbinu za kutostukiwa siku ukimtibua tu lazima akuaribie.
 
Aisee Mungu wangu amenikataza kuchepuka

Kama mungu amekukataza basi kakukosesha raha ya dunia! We jifanye siku moja umesahau katazo hilo uchepuke mara 1 tu halafu utakubali mwenyewe kuwa ulikuwa unakosa raha duniani!
 
Michepuko sio dili baki njia kuu...epuka UKIMWI
 
Mi nimepiga mapin ya kutosha kuanzia messages, whatsapp, media n.k Nilipoacha kuweka pin ni kwenye games na kalenda tu.
 
Hahahahahaha we mtoa mada unachekesha kweli hivi kuna mtu ashapewa jina jeneza! cjui kaburi duuh! basi wapo pia wanaoitwa maiti wangali hai hahaha aiii!
 
Nimejikuta najiuliza maswali mengi yasio na majibu. Halafu sijui nisikitike au nicheke?
 
ukweli utabaki kuwa ukweli, siku hizi kuwa nakamchepuko kako cyo issue.
 
Wajinga ndo waliwao, chepuka nawe utachepukiwa na mchepuko wako vile vile. Mwisho siku aibu kwako!lol.
 
Nimesoma kwa umakini sana,nimeelewa na nitazingatia
 
Kumbuka - ukiendekeza michepuko ukimwi hautakuwa mbali na wewe. Uamuzi ni wako.
 
umetumia haki yako kikatiba kujieleza.
 
Watu wanasahau kwamba mara nyingine ndoa ina misalaba yake ambayo inahitaji zaidi ya wanandoa kuibeba, hapo ndio umuhimu wa michepuko unapoonekana ili mradi vigezo na masharti vizingatiwe. btw mistresses have been around since time immemorial na wataendelea kuwepo.
 
Yaani nimejikuta naangua tu kicheko ,Binadamu kila kukicha hawaishi visa dah
 
Back
Top Bottom