Mkuu mimi naomba kuanza na hao 300, kama watakuwa wamesha fikia nipo tayari kuwa wa kwanza kuanza kulipa hiyo garama ya mafunzo ila ili mradi niwe kwenye group la kwanza la hii elimu
Huyo mtu ni mpuuzi wa kwanza, hata hiyo elimu yake aliyodai kaipata chuo haijamsaidia kabisa, watu kama hawa hawaitajiki kabisa, ni bora kumsaidia mtu ambaye kashaanza biashara akakwama kuliko kumsaidia mtu anae start from zero, labda kama unamfaham na ni rahisi kumfuatilia
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.