Javascript For Beginner In Swahili

Javascript For Beginner In Swahili

Programming kwangu imekaa kushoto kabisa....
Huwa najaribu kupitia pitia Java, Javascript, PHP, Python na C/C++ lakini waapi....

Mimi niko nduki sana kwenye issues za IP... Nakimbiza balaa....
VLAN, VPN, MPLS/VPN, DNS, DHCP, Firewall, MGW, UGW, HLR, HSS, OCS, GGSN, SGSN...
Ebanaeee niko fiti....
unaonaje kamà ungeanga somo kuhusu hayo machache unayoyajua
 
kitabu bado hakija isha lengo la kufungua hii thread mampema ni kujua kama ntakua nawatu wengi watakao pakua hiki kitabu au ndo muda wangu ntakua nimeupoteza bure. but very soon kitaisha na hili ndo jukwaa lake.
Ukikiweka nitag, nikidownload!
 
Ni idea nzuri kwa maana kwa mtu ambae kusoma hundreds of pages kwa kiingereza inakua sio comfortable kwake!
Na ni rahisi kutia mkazo kwa kiswahili mbongo hakakuelewa ukilinganisha mkazo huo kwa kiingereza!

Lakini pia jiulize swali lingine,Je, tatizo ni kuwa watu wanashindwa kusoma vitabu vya kiingereza ili wapate ujuzi?

Mimi jibu langu ni hapana tatizo lipo kwenye Uvivu wa kusoma vitabu i.e Anorexia for Knowldge
 
Mkuu naomba uangalie matumizi ya l na r vizuri ili kwa msomaji isiwe tabu na aelewe vizuri. Pia nimeona umetumia neno compyuter sijajua ni typing error au umekusudia hivyo.
But all in all kazi nzuri.
 
Mkuu naomba uangalie matumizi ya l na r vizuri ili kwa msomaji isiwe tabu na aelewe vizuri. Pia nimeona umetumia neno compyuter sijajua ni typing error au umekusudia hivyo.
But all in all kazi nzuri.

Hii ni typing error pia nitoe shukrani zangu za dhati kwani wew pekyako ndo ulioweza kugundua kama kuna hili tatizo, asante sana na ntarifanyia kazi.
 
Hii ni typing error pia nitoe shukrani zangu za dhati kwani wew pekyako ndo ulioweza kugundua kama kuna hili tatizo, asante sana na ntarifanyia kazi.
L na R ni tatizo kubwa kwako. Wengi tumeona ila hatukutaka ku-dwell kwenye subtle technicalities.
 
Mwaka huu nime balikiwa na mawazo mengi ambayo yamefanya kichwachangu kuvurugika nikifikiria ni jinsi gani naweza kuisaidia jamii yangu kiujumla. Ndipo nikaja na wazo hili la kuandika kitabu.
Lengo la kuandika hiki kitabu nikwasababu watu wengi wanapenda kufanya au kutengeneza program za kwao nasio kutumia source code za wengine sema wanashindwa kwasababu elimu waliokua nayo juu ya hiko kitu wanacho kitengeneza ni ndogo kwaiyo kuwa nauwezowakuelewa na unachokifanya ndipo unapokuja kutengeneza chakwako.

Hiki kitabu kimeandikwa kwa lugha ya kiswahili kabisa na pia kitakua laisi sana kwa msomaji kwani javascript ni raisi kuisoma na kuielewa.

Natumaini kikiisha ntapata marafiki wengi ambao wanapenda sana keyboard kuliko kulala.

Kwaiyo kama unapenda kuongeza ujuzi au kujua javascript karibu kwani elimu hainaga mpaka hii ni kwa watu wote waliokua interested na programing in javascript.

View attachment 490436
Big up san kaka.
 
Mwaka huu nime balikiwa na mawazo mengi ambayo yamefanya kichwachangu kuvurugika nikifikiria ni jinsi gani naweza kuisaidia jamii yangu kiujumla. Ndipo nikaja na wazo hili la kuandika kitabu.
Lengo la kuandika hiki kitabu nikwasababu watu wengi wanapenda kufanya au kutengeneza program za kwao nasio kutumia source code za wengine sema wanashindwa kwasababu elimu waliokua nayo juu ya hiko kitu wanacho kitengeneza ni ndogo kwaiyo kuwa nauwezowakuelewa na unachokifanya ndipo unapokuja kutengeneza chakwako.

Hiki kitabu kimeandikwa kwa lugha ya kiswahili kabisa na pia kitakua laisi sana kwa msomaji kwani javascript ni raisi kuisoma na kuielewa.

Natumaini kikiisha ntapata marafiki wengi ambao wanapenda sana keyboard kuliko kulala.

Kwaiyo kama unapenda kuongeza ujuzi au kujua javascript karibu kwani elimu hainaga mpaka hii ni kwa watu wote waliokua interested na programing in javascript.

View attachment 490436
 
Mkuu niliisoma Java yote vizuri hamu yangu imekuwa kutengeza apps zangu.

Kwa bahati mbaya sikupata muda na C++ ambayo nilielewa ndiyo ingeweza apps zangu.

Ninazo resources nyingi za Java za rmit. Kamchina kangu hakinipi kutuma pm naomba nipm tuwsiliane.
 
Back
Top Bottom