Nmejifunz kitu jf,,,,thread nyingi, ni za kutunga,,,,na kutaka kujua uelewa wa watu,, ,lkn ndugu yangu,,,,ungejua madhara ya kujichua ni kudumu kwako,,,usingekubali na kuwa tyr kufanya hvyo,,,Jitunze afya yako, be a gentleman,,, you are not born for women,,,,but woman for you,,,take care...