mti wa ajabu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2012
- 449
- 366
Hahahah utaniua mbavu zangu hapa nilipo nacheka peke yanguTena atakuwa anachuma kwenye mti wa ajabu.
Wenye matawi (branch) mpaka jf
Hahahah utaniua mbavu zangu hapa nilipo nacheka peke yanguTena atakuwa anachuma kwenye mti wa ajabu.
Wenye matawi (branch) mpaka jf
Hivi shule bado zimefungwa wakuu
Tayari hiyo ni RED CARD,kuna lijamaa limeishapendwa kuliko wewe,achana nae kabla hajakutamkia.Alikuwa ananipigia simu kila siku, tulikuwa tunachati 24 hrs... Nikimpigia tunaongea full romantic.. Lakini sasa ghafla nashangaa komunikesheni inazidi kudrop... Nikimkolu anadai hana vya kutolku, nikimtext anajibu shotikati, nikiomba mechi vikwazo zaidi ya milioni .. niki mchana anadai ananipenda.. SIELEWI HAPA jamani