UMETUMWA NA MAFISADI ILI UMCHAFUE MKUU WA NCHI,ACHA RAISI WA WANYONGE AFANYE KAZI TULIYOITAMANIA TOKA MIAKA MINGI,OK WAONA NI SAHIHI KUENDELEA KUWA NA WATUMISHI HEWA?JE WAFANYABIASHARA WASIOLIPA KODI?WANAOFICHA SUKARI HATA BIBI YAKO ANASHINDWA PATA KIFUNGUA KINYWA ASUBUHI,MTASEMA MENGI SANA JUU...
Magufuli mbele kwa mbele mlizoea vya kunyonga sasa vya kuchinja mnaona kama haramu sisi wanyonge mlituonea sana nani kakwambia soko huria watu wafiche mali ndani ili wajilimbikizie faida hiyo si ni monopoly by hiding MAGUFULI PIGA KAZI SIE TWAKUSAPOTI
Majibu yoooote ni sahihi ila hawa nao walikuwa hawalipi kodi so wanaongeza muda wa kudownload ili utumie pesa iiishe na waweze kwenda na kasi ya hapa kazi pamoja na kulipa kodi stahiki kwa serikali
Yaaani hilo ni jipu tayari limevuta pesa kwa wafanyabiashara ss linatushawishi tuagize sukari please please Dr Magufuli tunaomba sana sie walala hoi tumbua hilo lijipu sie tunakuunga mkono mh raisi kwa juhudi unazofanya waleta heshma ya nchi tumbuaaaaaaaaaa
CHUKUA RANGE ROVER/VOGUE IPO JUU INAFIKA POPOTE UENDAPO GHARAMA NAFUU SANA UNAIMUDU HATA UKIWA NI SECRETARE MIE NDIO NAONA ITAKUFAA NA BAJETI ULIYOPANGA
Viva Magufuli kama wao haki za binaadamu wanayajua hayo watuelese pesa ambazo Kabwe ameliibia taifa letu si zilipaswa kupelekwa sehemu kama mahospitalini shule ba sehemu nyingine ambazo ni nyeti zaidi,sasa wao wanataka mwizi afikuzwe kimya kimya haiwezekani kabsaaa MAGUFULI SIE WANYONGE...
Ahsante Raisi wa wanyonge,ila ni ombi kwako kwa mtu kama huyu anaye iba pesa za uma sio tu kumtumbua jipu ila nae apewe adhabu kali sana ikiwemo kunyongwa sb yeye katutesa sana sie walala hoi VIVA RAISI WETU MUNGU AKUPE MAISHA MAREFU UKITAKA TUKUONGEZEE MUDA WA ZAIDI TUPO TAYARI
Raisi JPM atawanyoooosha tu sisi wananchi tunampenda na daima yeye mbele sie nyuma yake na nchi yetu itapiga hatua na mifumo ovu yooooote huu ndio mwarobaini wake
Lakini wao waliandika ktk barua ya ajira iam able to work in challanging environment so why are you complaining mwisho ulisema
Your faithfully
Mtoa uzi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.