The Businessman
JF-Expert Member
- Jan 9, 2014
- 7,397
- 9,264
Vodacom mtandao wa wazee...
mkuu kuwa mvumilivu kidogo 4g ya voda inakuja soon.,simu ni ya line 1, line ina muda mrefu kuibadilisha nitapoteza vitu vingi sana na kusababisha usumbufu mkubwa kwa wengine
ila ikiwa too much nanunua simu nyingine kwa ajili ya line ya internet nzuri
Internet ya halotel ipo vizuri sana sema ninakua na mashaka na jinsi mb zinavyoisha nahisi naibiwa, mb 500 zinaisha haraka sana hata kwa kuperuzi tuTumia Halotel wewe check speed hiyo....![]()
umesema vyemaMvua ni moja ya chanzo
kama upo Dar,una simu yenye uwezo wa LTE fika samora vodashop/mlimani city au seacliff vodashop na kitambulisho chako ubadilishe laini yako sasa bei Tshs 500.ili ikianza uwe tayari na wewe umo.shukrani sana, ngoja tukae mkao wa kula
mi mi simu yangu ni Vodafone 695 hiiina uwezo wa LTE? na inatarajia kuanza lini?kama upo Dar,una simu yenye uwezo wa LTE fika samora vodashop/mlimani city au seacliff vodashop na kitambulisho chako ubadilishe laini yako sasa bei Tshs 500.ili ikianza uwe tayari na wewe umo.
nenda kwenye setting>mobile network>hapo utaona features za uwezo wa simu yako.mf.GSM/2G/3G kama utaona ipo 4G au LTE ujue mambo poa hapo.mi mi simu yangu ni Vodafone 695 hiiina uwezo wa LTE? na inatarajia kuanza lini?
Nunua Simu ya tochi weka line ya voda, then hiyo weka HalotelVoda na tigo kwa sasa ni majipu makubwa sana Network. Mtu hata kutuma sms kwa whatsApp inachukua muda kibao utadhani upo kule Ugalla Katavi.
Nunua Simu ya tochi weka line ya voda, then hiyo weka Halotelkuna mambo mengi yananizuia kuhama