Inaweza chukua miezi 2 na mi 3 kwa mtu ambae hana nywele nyingi, so kukaa sana inategemea na asili yako ya nywele kama unazo nyingi ni mwezi na nusu hadi 2
Duh hyo atakuwa sio mtaalam wa hyo kazi, wax nauma siku ya kwanza unavyoanza kutoa maana ngozi inakuwa haijazoea ila ukifanya mara 2 mpka 3 inakuwa kawaida na maumivi yanakuwa ya kawaida yakuvumilika
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.