Recent content by jown

  1. jown

    Mtoto wa Ruge ni shidaa...

    Hahahaa. Achaa niwaaaze waaazee acha nikufikirie
  2. jown

    Mtoto wa Ruge ni shidaa...

    Hizi ni enzi za maasi duniani. We watu wako kwenye simanzi wewe unawaza kumpenda bila shaka dhambi ya uzinzi inakutafuna
  3. jown

    Kwanini JF kila mtu hujifanya maisha bora?

    Mimi sioni shida ya watu kuwa fake. Mbona hata wewe umeweka Id fake? Kama ungekua una hoja ungekuja na id ya jina lako. Kingine, unaugua nini wewe ukisikia mtu ana maisha mazuri hata kama sio kweli? Tafuta maisha yako wewe kuangalia watu wanafanya nini
  4. jown

    Akili za watu wa kijijini wanazijua wenyewe

    Siishangai kwani nikiwa mdogo kijijini tulikua tunapenda ugali wa sembe kuliko dona. Ule weupe na ladha yake
  5. jown

    Edward Lowassa arejea CCM, apokelewa na Uongozi wa juu wa chama

    Waacheni wafu wawazike wafu wenzao
  6. jown

    CHADEMA mmevuna mlichopanda

    Katika watu wajinga duniani na ulimwenguni Tanzania ipo top 10. Lowassa aliondoka ccm kwenda cdm baadae dr. Slaa akaondoka cdm kwenda ccm indirectly kwa kile alichokiita kutokubaliana na ujio wa lowassa ndani ya cdm na baadae akapewa ubalozi ila hatukuona mapokezi ya huyo dr slaa yalikuaje, leo...
  7. jown

    Najuta kwanini niliuza gari yangu

    Duuu sasa huwa unfanyaje kama kitu chako huuzi
  8. jown

    Shemeji yangu amenilazimisha nitoke nae na amefanikiwa

    Hii ni tungamo na uzito. Ndio vitu vijana wadogo mnavotaka siku hizi badala ya kuwaza kupata maisha nyie mnawaza kutembea na mashemeji zenu wengine mnawaza kupata mmama mwenye hela awe anakupa na gari ya kutembelea wengine mnawaza kupata zali la mentali ndio maana matokeo yake mnakua mashoga.
  9. jown

    Je wazungu wana utaratibu wa kuchangiana harusi au nini sisi tu waafrika ?

    So kwa kuwa wazungu ni mashoga na sisi tuwe mashoga? Sio lazima uchange mkuu kuwa huru na maisha yako.
  10. jown

    Misemo hii: umaanisha nini?

    Sema ngeliii kwa kizungu Sent using Jamii Forums mobile app
  11. jown

    Usilie,pole dada uliyataka mwenyewe

    Njoo pm fasta Sent using Jamii Forums mobile app
  12. jown

    Nichangieni hela ya gesti

    Huyu jamaa anafanya kazi pale survey motel. Sent using Jamii Forums mobile app
  13. jown

    Gari ya wizi...

    Utapata uzoefu wa kudai pia Sent using Jamii Forums mobile app
Back
Top Bottom